Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Haka Kamtu AROON kanasumbua kweli
Zaha sio mtu mzuri kabisa yuleBado tuko moto japo refa katuua leo. Zaha katuchezea akili na refa manina yaani tuta la mizengwe.
Kawaida ya winga msumbufu lazima asababishe penalty tu hata kwa kudanganyaPenati ya kijinga Ile. Zaha kajigongesha tu
Subir ,kila game na plan yakeAROON UnaiBall imekwama wapi leo! Hii marathon hamuiwezi! Next game nakuja kwako hapo kuchukua point zangu 3
Ngoja tuone game ijayo, sio mbaya tuneondoka na point 1,Haka Kamtu AARON kanasumbua kweli
Ubingwa utachukua wewe baba, mm nitapiga mahesabu mwez wa 5Hahahahha! Hawa ndo AARON anakuja kujitapa kule kuwa ni mabingwa
HahahahaAROON UnaiBall imekwama wapi leo! Hii marathon hamuiwezi! Next game nakuja kwako hapo kuchukua point zangu 3
Ubingwa utachukua wewe baba, mm nitapiga mahesabu mwez wa 5
Kwan umeniacha point 10?
Alipoona refa kakubali alicheka sana.Penati ya kijinga Ile. Zaha kajigongesha tu
Wameshindwa kumzuia ZAHA wataweza kwa Mane .Firmino. Salah na ShaqiriWanang wa Arsenal tuko pamoja ..draw isiwayumbishe bado mna kikosi kipana sana tena cha ushindani.
Next wikiend fanyeni kweli ..
Klopp hana historia nzuri kwa Unai..
ZAHA na hao ulio wataja ni sides mbili tofauti..Wameshindwa kumzuia ZAHA wataweza kwa Mane .Firmino. Salah na Shaqiri
Mbona huyo torreira alishindwa kukata umeme wa townsend, kouyate na zaha mpaka wanapata penalt 2! Msimu huu tutakuhamisha mno timuZAHA na hao ulio wataja ni sides mbili tofauti..
Kila game na plan yake mkuu.
Kuna mtu anaitwa TORROERA mkata umeme...
Acha kulialia Acha kuombaomba msaada kwa timu za watu Mkuu ona aibu Hahahahaha Kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yakeZAHA na hao ulio wataja ni sides mbili tofauti..
Kila game na plan yake mkuu.
Kuna mtu anaitwa TORROERA mkata umeme...
Ile game refa aliharibu japo sikutaka Arsenal ishinde ..lakini sio kwamba Liverpool atashinda.Mbona huyo torreira alishindwa kukata umeme wa townsend, kouyate na zaha mpaka wanapata penalt 2! Msimu huu tutakuhamisha mno timu
Hahaha kamba ya Arsenal itakuwa ndefu sana...Acha kulialia Acha kuombaomba msaada kwa timu za watu Mkuu ona aibu Hahahahaha Kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake
Kwakua unatumia ushabiki na sio fact matokeo yatakua hivyo ulivyopiga ramliIle game refa aliharibu japo sikutaka Arsenal ishinde ..lakini sio kwamba Liverpool atashinda.
Kwangu mimi ushindi Arsenal naipa 60%
Liverpool 40% ...
Draw liverpool 55%
Arsenal 45%
Either Arsenal or draw..!!