Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunakaribisha sana mashambulizi golini kwetu.... Inabidi tupate goli la tatu ili tuwatulize kidogo
 
Arsenal lazima wasajili beki wa kushoto mwezi January.

Zaha amemhenyesha sana Xhaka leo.

Ila pointi 1 si mbaya baada ya mechi 11
 
Leo upande wa kushoto ulipooza, Nacho ana umuhimu wake hata mashambulizi yalikuwa hayapandi.
 
Leo upande wa kushoto ulipooza, Nacho ana umuhimu wake hata mashambulizi yalikuwa hayapandi.

Jumamosi ijayo Arsenal/ Liverpool Emirates.

Twasubiria matayarisho ya kuwakabili Sadio Mane na Mohamed Salah.

Katikati kuna Roberto Firmino na Daniel Sturridge.

Game saa 1 usiku kwa kwa Tanzania (kama sikosei)
 
Back
Top Bottom