MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Goli bora la week nafikiri
Dakika ya 52 xchaka anasawazisha goli ambalo huenda timu ikafungiwa na FA.Hatari
Dakika ya 52 xchaka anasawazisha goli ambalo huenda timu ikafungiwa na FA.Hatari
Leo upande wa kushoto ulipooza, Nacho ana umuhimu wake hata mashambulizi yalikuwa hayapandi.
Refa katuua leo katubania red card kwa Ayew then kachezea akili na zaka naye kaingia king.Wamepata penalty tena
NotedJumamosi ijayo Arsenal/ Liverpool Emirates.
Twasubiria matayarisho ya kuwakabili Sadio Mane na Mohamed Salah.
Katikati kuna Roberto Firmino na Daniel Sturridge.
Game saa 1 usiku kwa kwa Tanzania (kama sikosei)
Bado tuko moto japo refa katuua leo. Zaha katuchezea akili na refa manina yaani tuta la mizengwe.Poleni sana wakuu kwa sare
Naona crystal palace wamepunguza speed yenu
Penati ya kijinga Ile. Zaha kajigongesha tuBado tuko moto japo refa katuua leo. Zaha katuchezea akili na refa manina yaani tuta la mizengwe.