Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,257
Ndio mimi ni mganga na ninatibu magonjwa yote. Je una tatizo la nguvu za kiume nikupe dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mimi ni mganga na ninatibu magonjwa yote. Je una tatizo la nguvu za kiume nikupe dawa?
Achana naye timu iko safi na hata nje ya top four haiwezi kutoka kwani wa kutoka wanajulikana.Kwani nafasi ya kumi cha ajabu nini apo???,while msimu jana tulimaliza wa sita , tunachotaka sisi ni kocha kuelewana na timu yake kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza kujitibu kwanza wewe.Ndio mimi ni mganga na ninatibu magonjwa yote. Je una tatizo la nguvu za kiume nikupe dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nasimamia ukucha kama Mwamedi Salah yani shoo shoo shoro mwamba.
Mkuu katika gemu kumi za mwisho ulizokutana na arsenal wewe umeshinda Mara 4 arsenal ikishinda Mara 2 uku mkitoka suluhu Mara 4.
Enewei sio takwimu mbya sana kwenu. Hata hivyo katika gemu zote 224 mlizocheza na arsenal wewe umeshinda gemu 86 Arsenal akishinda gemu 78 na mkidroo mara 60. Apo tofauti ni gemu 8 tu mkuu ambazo umemzidi arsenali
Hivyo arsenal sio mchovu kiivyo anapokutana na liverpool mkuu.
Nimechungulia sehemu nimekuta jini limesarenda bila maombi kipindi cha kwanza 3 sijaelewa dakika 90 itakuwaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo mdogo tutaelewana tu sasa hivi wametulia tuliii. Tena wamepigwa na vijana wadogo tu wanaoweza kusajiliwa wote na mauzo ya Pogba tu.Hawakujua kua ivi vitu vinaweza kumtoke yoyote vile kachezea 3-2 kimyaaaaa tena wamepigwa na wakawaida tu.
HahaaaMarehemu aligoma kumeza dawa akiamini kua atapona tu kimiujiza!😛😀
Nipe mke wako tu ndio atayeweza nitibuNdio mimi ni mganga na ninatibu magonjwa yote. Je una tatizo la nguvu za kiume nikupe dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe shabiki wa arsenal hadi umuhitaji wenger. Tuachie wenye timu ndo tunajua.Tatizo la Arsenal sio kocha,bora tu Wenga arudi kuongoza kikosi chetu.
Sent using Jamii Forums mobile app