McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
It's London Derby and we're back at our FORTRESS ni time ya Unai na squad yote kutuonyesha direction ya jahazi lililojaa maji kwa sasa kama linazama au tunaendelea na safari.
Tetesi kua Ozil anaweza asiwe sehemu ya game ya leo kutokana na ugonjwa,hii ni game ambayo lazima tushinde tofauti na hapo ni matatizo.
Tetesi kua Ozil anaweza asiwe sehemu ya game ya leo kutokana na ugonjwa,hii ni game ambayo lazima tushinde tofauti na hapo ni matatizo.