Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huo ni utafiti wako lakini hilo linategemea na aina ya ligi na uwezo wa timu moja moja. Timu inaweza poteza mechi hata zaidi ya hizo na ikawa bingwa. Arsenal msimu wa 2003/2004 hakupoteza hata mechi zaidi ya sare 2 lakini bado hakupishana sana pointi na mtu wa pili. Uingereza timu zote ni nzuri hivyo hakuna ushindi wa mteremko kiasi hicho.
Timu zote zitachezea kichapo kama ilivyokuwa mwaka jana tu hakuna aliyepona.
Mnashangaa kwa kuwa arsenal ndiyo kigogo wa kwanza kula kichapo bila kujua kuwa anayeanza kucheka mwishoni ndiyo Julia na anayeanza kuhuzunika mwishoni ndiye hufurahi. Naiona arsenal ikibeba kombe haya ni maoni yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mechi ya kwanza kufungulia ligi umepigwa ya pili umepigwa unawazia ubingwa wakati hao mabingwa huwa wanakuwa wameshalose hizo mechi mbili baada ya long successiful run for the Title !
 
Wakati wewe ukiendelea kujipanga, sisi tunaendeleza ushindi.

Mrudisheni Wenger mapema kabla mambo hayaja haribika.
Binadamu hana jema. Kila timu uingereza imepitia wakati mgumu hata ya kwako unayoshabikia.
Bado arsenal ni timu imara na wengi mnaumia kwa kuwa mnajua wazi kwa jinsi ilivyo sasa na uwezo wa huyu kocha mazuri mengi mashabiki watafaidi.
Leceister akichukua ubingwa aliwagonga vigogo wote na alipigwa game tatu tu mbili arsenal ndani nje na Liverpool moja lakin hatukuwazodoa.
Timu haiiwi bingwa kwa kushinda game mbili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado nacheka mkuu nategemea wikiend kuwa mbaya kwako.

Nina uhakika leo huchomoki.

Mimi Leo Sipo Uwanjani! Leo Labda Umsubiri City & Manure

Mimi Nipo Kesho SAA 4 USIKU

Kesho Hata Nisichomoke Mimi Ni Mwanamichezo Nitahesabu Ndiyo Sehemu Ya Mchezo
 
Mechi ya kwanza kufungulia ligi umepigwa ya pili umepigwa unawazia ubingwa wakati hao mabingwa huwa wanakuwa wameshalose hizo mechi mbili baada ya long successive run for the Title !
Kwann nisiwaze ubingwa kwani aliyetangulia ameshafika tayari mbona bado. Ninapata tabu kuwaelewa mnapotangaza ubingwa kwa timu zetu kwa ushindi wa game mbili za awali hivi mnatoka sayari gani nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalam wanakuambia sambusa ina point nyingi kuliko ass anal
GBWA-20180819105948.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
9
Kwann nisiwaze ubingwa kwani aliyetangulia ameshafika tayari mbona bado. Ninapata tabu kuwaelewa mnapotangaza ubingwa kwa timu zetu kwa ushindi wa game mbili za awali hivi mnatoka sayari gani nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mna Forward Mbovu na Beki mbovu ndio maana tunasema hivyo, we kwa performance ya Namba 9 wenu Aubameyang alioionesha jana na Beki Mbovu yenu mchukue Ubingwa wa EPL mbele ya Man Utd (yenye Strikers wa Top Class kama Lukaku na Rashford), Liverpool (Yenye Strikers wanaojua kufunga kama Mo Salah na Firmino), Man City Yenye KIkosi bora kutokea beki mpaka Forwards hapo hujaongezea Tottenham na Chelsea ambao wapo vizuri zaidi kuliko Nyinyi
 
Binadamu hana jema. Kila timu uingereza imepitia wakati mgumu hata ya kwako unayoshabikia.
Bado arsenal ni timu imara na wengi mnaumia kwa kuwa mnajua wazi kwa jinsi ilivyo sasa na uwezo wa huyu kocha mazuri mengi mashabiki watafaidi.
Leceister akichukua ubingwa aliwagonga vigogo wote na alipigwa game tatu tu mbili arsenal ndani nje na Liverpool moja lakin hatukuwazodoa.
Timu haiiwi bingwa kwa kushinda game mbili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua Arsenal ni timu ambayo ilikwisha zoea falsafa za kocha mmoja kwa muda mrefu, yani Wenger ..kiasi kwamba bdo wachezaji wengi wanacheza kiwenger.

Kuja kwa Unai Emery ina maana anakuja na falsafa mpya kabisa ..sasa inakuwa ngumu kuwa applied kwa wachezaji

Ukicheki Timu ni uwezo binafsi wa wachezaji ndo unaisaidia isifungwe goli nyingi. Bado hakuna ile team work ya wachezaji ..ila kama akifanikiwa kuwaweka pamoja angalau kwa msimu huu basi arsenal itakuwa ni timu nzuri sana yenye ushindani.

Refer kwa klabu ya man u baada ya kuondoka kwa Alex fargason timu mpk haijapata kocha wa kuvaa viatu vyke. Liverpool yano baada ya kuondoka kwa Rafa Benitez mpk sasa angalau wamejitahidi kuijenga timu chini ya Klopp. Lakini iliwachukua muda ..tofauti na klabu kama Chelsea ambayo imekuwa utamaduni wa kocha kukaa muda mfupi klabuni kiasi kwamba wachezaji wamezoea iyo khali. Sasa inakuwa haileti effect sana kwa wachezaji pindi akija kocha mpya.
 
Binadamu hana jema. Kila timu uingereza imepitia wakati mgumu hata ya kwako unayoshabikia.
Bado arsenal ni timu imara na wengi mnaumia kwa kuwa mnajua wazi kwa jinsi ilivyo sasa na uwezo wa huyu kocha mazuri mengi mashabiki watafaidi.
Leceister akichukua ubingwa aliwagonga vigogo wote na alipigwa game tatu tu mbili arsenal ndani nje na Liverpool moja lakin hatukuwazodoa.
Timu haiiwi bingwa kwa kushinda game mbili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo bado Manchester na liverpool haujacheza nao na ni lazima wakupige
 
Mimi Leo Sipo Uwanjani! Leo Labda Umsubiri City & Manure

Mimi Nipo Kesho SAA 4 USIKU

Kesho Hata Nisichomoke Mimi Ni Mwanamichezo Nitahesabu Ndiyo Sehemu Ya Mchezo
Ahaa kesho uko na nani mkuu.

Nina imani mwezi huu august kwako utakwenda vyema. Ila September ndo tutajua kama Liverpool imejengeka au bdo ni ile ile kama arsenal
 
Mkuu unajua Arsenal ni timu ambayo ilikwisha zoea falsafa za kocha mmoja kwa muda mrefu, yani Wenger ..kiasi kwamba bdo wachezaji wengi wanacheza kiwenger.

Kuja kwa Unai Emery ina maana anakuja na falsafa mpya kabisa ..sasa inakuwa ngumu kuwa applied kwa wachezaji

Ukicheki Timu ni uwezo binafsi wa wachezaji ndo unaisaidia isifungwe goli nyingi. Bado hakuna ile team work ya wachezaji ..ila kama akifanikiwa kuwaweka pamoja angalau kwa msimu huu basi arsenal itakuwa ni timu nzuri sana yenye ushindani.

Refer kwa klabu ya man u baada ya kuondoka kwa Alex fargason timu mpk haijapata kocha wa kuvaa viatu vyke. Liverpool yano baada ya kuondoka kwa Rafa Benitez mpk sasa angalau wamejitahidi kuijenga timu chini ya Klopp. Lakini iliwachukua muda ..tofauti na klabu kama Chelsea ambayo imekuwa utamaduni wa kocha kukaa muda mfupi klabuni kiasi kwamba wachezaji wamezoea iyo khali. Sasa inakuwa haileti effect sana kwa wachezaji pindi akija kocha mpya.
Ni sawa lakn kwa kocha wa arsenal hawezi kuchukua muda mrefu kwani kikosi kina nusu ya wachezaji wageni aliosajili yeye na wengine wa zamani anaowaunganisha pamoja.
Kwa sasa finishing bado si nzuri ambayo marekebisho yake siyo magumu sana ukilinganisha na viungo na defence area.
Unaona kabisa Tolleira akicheza na Guendozi kiungo panaimarika vema.
TUSUBIRI muda ni mwamzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo bado Manchester na liverpool haujacheza nao na ni lazima wakupige
Usiishi kwa kukariri timu hizo zote ulozitaja zilishachezea kichapo kwa arsenal si mara moja kwa nyakati na musimu tofauti. So sisi hatutishwi na mbwembwe za mtandaoni.
Still I bealive arsenal is the best club in England enough to win the battle at any season of their play.

Ktk mpira hatuishi kwa fikra za kukariri. Timu zinauza wachezaji na zinasajili wachezaji na kubadili makocha kila wakati kwanini uishi na fikra mgando hivyo kukariri kitu kimoja. Hizo timu nyepesi tu hazina kitu cha ajabu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi naona kocha ni mzuri na arsenal wanakosa forward mwenye uchu wa magori hawa watu weusi matatizo.pili upande wa usajiri kuna machezaji yanauzwa bei nzuri mfano iticard yupo inter Milan arsenal wakienda na 50 wanamchukua kuna Kuna winger mblazili Douglas yupo sokoni baada ya ujio wa Ronaldo ivo sera za timu nazo mbovu kwa upande wa usajili. Hata dybala anauzwa yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote kwa yote niseme poleni wana Arsenal wote huo ndio mpira na una matokeo matatu na yote lazima yatokee kwenye football

E&K
 
Okay mwache andelee kuzisoma team pinzani. Pindi akimaliza kuzisoma league imeisha yupo nafasi ya kumi. Wenzao walishamaliza topic zote yeye bado ndio anatafuta madesa. Shauri yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nafasi ya kumi cha ajabu nini apo???,while msimu jana tulimaliza wa sita , tunachotaka sisi ni kocha kuelewana na timu yake kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzowefu wangu ili team iwe bingwa au hata kuwepo kwenye top four angalau isifungwe mechi zaidi ya tano kwa msimu na draw angalau chini ya kumi.

Sasa ngugu zetu Ass anal mpaka sasa mechi mbili za league mmeshapoteza. Mtakuwa waja wa nani jamani msimu huu? Mbona mnaanza kututia mioyo ya huruma mapema namna hii

Hapo bado hamjacheza na Liverpool, Man U, Spurs achilia mbali kabisa Fulham ambao jana pamoja na Spurs kuwafunga ila spurs wamelala na viatu hoi mpaka sasa hawajaamka.

Arsenal mpaka mechi kumi za mwanzo zinaisha mtakuwa mmeshapoteza sio chini ya tano na draw mbili. Hapo mtakuwa na point 11 tu wastani wa point moja kila mechi. Ntakuwa na tofauti gani na Stoke City sasa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka utakua mganga wa kienyeji,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii post Sizani Kama umeiandika Ukiwa na Akili Zako Timamu.
Mkuu katika gemu kumi za mwisho ulizokutana na arsenal wewe umeshinda Mara 4 arsenal ikishinda Mara 2 uku mkitoka suluhu Mara 4.

Enewei sio takwimu mbya sana kwenu. Hata hivyo katika gemu zote 224 mlizocheza na arsenal wewe umeshinda gemu 86 Arsenal akishinda gemu 78 na mkidroo mara 60. Apo tofauti ni gemu 8 tu mkuu ambazo umemzidi arsenali

Hivyo arsenal sio mchovu kiivyo anapokutana na liverpool mkuu.
 
Back
Top Bottom