McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Arsenal 1-1 WHU
Monreal
️
Dakika ya 35
Monreal
️Dakika ya 35
️Leo ushindi ingawa timu aichezi vizuri1-1 tumesawazisha
Arsenal 1-1 WHU
Monreal️
Dakika ya 35
Mkuu naona Mashabiki Waliokuwa wamekomaa na WengerOut wamekuachia Uzi peke yako?



Watarudi tena soon wakati wa Unai OUT![]()
Ushindi utoke wapi mkuu? Unapigwa nyundo.Beki inajipanga vibaya na kipa wenu amezubaa japokuwa kaokoa 3 wazi.Leo ushindi ingawa timu aichezi vizuri
Mbona Unawakomalia Wenzio Kihivo?
Kesho na wewe una Benitez tutakuibukia ujue!!
Half time bado 1-1 ila wazee time leo inacheza mpira m'bovu sana tofauti na game yetu zidi ya chelsea
Ozil tatizo lake timu ikizidiwa tu humuoni uwanjaniOzil ni kama deep freezer mara nyingi anaipoza timu inapopata moto na anatoa nafasi ya waliopata moto kujipanga na kufanya maamuzi sahihi,siku ambayo hachezi utaona pale kati wanavurugana tu.