Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa Taarifa Yako: Unai Emery amekutana na Pep Guardiola mara 10, Jose Mourinho mara 5 - katika mechi hizi 15 hajashinda mechi hata 1.

Kafungwa 10
Sare 5
hahahahahahahahaahah
England sio spain,hatuishi kwa kukariri kipind hiki
 
Mkuu, Man City ina kikosi ghali zaidi duniani kuzidi hata PSG hivyo ni wazi kwamba kocha yoyote anaweza kufundisha pale na akapata mafanikio (endapo mafanikio ya timu yanapimwa kwa ubora wa kikosi)
Pili PSG inashiriki kwenye michuano mingi zaidi (Michuano 5) hivyo kocha kufanikiwa kutwaa makombe ma4 ni achievement kubwa na inabidi apate credit kwa hilo.
Kuhusu ugumu au ulaini wa EPL unategemeana na kocha tu.
1. Neymar £198m +Mbappe £ 128m+Cavani £55m +Di Maria 45 =£426m sijaweka kina Draxler,Pastore,TSilva,Marquinos

Competitors wa PSG kwenye Ligue 1 huwezi linganisha na ligi kama Spain,England au Italy.Jiulize why imepita miaka zaidi ya 20+ hakuna timu ya Ligue 1 iliyochukua ubingwa wa Ulaya

Na tangu jamaa wa Qatar wameinunua PSG Emery ndio kocha pekee aliyeshindwa kuchukua ubingwa(Monaco walichukua last season)
 
Tatizo wanakariri hao konte, wenger mou misimu yao ya kwanza wamebeba Epl
Conte,Jose wako daraja la juu kuliko Emery na timu walizofundisha hazina wachezaji kama ambao Arsenal mnao kwa sasa (Wellbeck,Mustafi,Bellerin,Xhaka,Elney,Iwobi,Ramsey na pia angalia competitors atakaopambana nao City,United,Spurs,Liverpool timu zao ziko kwenye viwango gani kwa sasa
 
1. Neymar £198m +Mbappe £ 128m+Cavani £55m +Di Maria 45 =£426m sijaweka kina Draxler,Pastore,TSilva,Marquinos

Competitors wa PSG kwenye Ligue 1 huwezi linganisha na ligi kama Spain,England au Italy.Jiulize why imepita miaka zaidi ya 20+ hakuna timu ya Ligue 1 iliyochukua ubingwa wa Ulaya

Na tangu jamaa wa Qatar wameinunua PSG Emery ndio kocha pekee aliyeshindwa kuchukua ubingwa(Monaco walichukua last season)
Mkuu fanya hesabu ya gharama za kikosi cha Man city, fanya hesabu ya kikosi cha PSG halafu uje hapa na total.
Tangu jamaa wa Qatar waingie Carlo Ancelloti alishindwa kutwaa ubingwa mbele ya Montpellier hivyo Unai Emery ni wa pili
 
Hayo makombe unayozungumzia na wachezaji waliokuwa nao hata Wenger angekuwa PSG angechukua yote kumbuka hii ni EPL
EPL is overrated.
Toka watu waseme Guardiola atanyooshwa kisha msimu wa pili tu yeye ndio kawanyoosha, nimeiona epl ni ligi inayokuzwa sana na media za uk.
 
Mzee

Emery ni specialist wa Uropa na Arsenal msimu ujao mtacheza huko,huku Champions League sio sehemu ya kuongelea sababu sidhani kama kwenye msimu wake wa kwanza ataweza kumaliza top four


Kwa Ninavyomjua Emery Basi Next Season Arsenal Anabeba Europa Mapema Sana.
Lakini Kwa UCL Basi Emery Hatavuukapo Robo Fainali.
 
Conte,Jose wako daraja la juu kuliko Emery na timu walizofundisha hazina wachezaji kama ambao Arsenal mnao kwa sasa (Wellbeck,Mustafi,Bellerin,Xhaka,Elney,Iwobi,Ramsey na pia angalia competitors atakaopambana nao City,United,Spurs,Liverpool timu zao ziko kwenye viwango gani kwa sasa

imebidi nicheke tu maana hakuna namna,ivi hao United na Chelsea wana wachezaji gani hasaa wa kutisha mpaka Ramsey,Xhaka,Iwobi waonekane ni wabovu sanaaaa yaani kuna tofauti ya akina Young,Jones,Smalling,Herrera na wachezaji wa Arsenal ivi lile kundi la wahuni la Chelsea useme wanawazidi hasaaa squad ya Arsenal ebu punguzeni mahaba.
Unai Emery ni kocha mpya wa Arsenal sielewi mlikua mnataka nani apewe timu maana mmekuja mbio kumkosoa na sababu lukuki ni juzi tu hapa mlikua wachambuzi mkitunanga kisa Arteta alikua apewe timu leo mmegeuka anasema Unai ni tuone msimu ukianza kwanza wapo akina Klop na Mo' toka wamechukua vibarua vipya nao wanasota kubeba EPL achana na Spurs ambao kwao kombe lolote ni mtihani sasa sijui wanatisha kwa lipi.
 
Kwa taarifa tu:- Msimu wa 2017/18
Unai Emery = Makombe 4
Conte+ Mourinho +Guadiola + Klopp + Makocha wote wa EPL = Makombe 3
Halafu anatokea jinamizi anasema Emery sio kocha.!!!!???

Mkuu Sikosoi Taaluma Ya Emery Kwani CV Yake inajieleza Kuwa Yupo Vizuri tu Hilo halina Ubishi na Anaebisha Basi Hana Cha Kusaidiwa.

Lakini Kubusu Hayo Makombe 4 Aliyoyabeba Ni Sawa na Antony Joshua Kujisifia Ukanda Alioupata Kwa Kupambana na Mada Maugo.

PSG Kwa Ligi Ya Ufaransa Ni Sawa na Bayern Kwa Ligi Ya Ujerumani! Wana Uwezo Wa Kuyabeba Makombe Yote Ya Ligi Zao Kwa Miaka 10 Mfululizo Kwani Ni Ligi za Wakulima Na Mafundi Gereji.

Tofauti na EPL, Ukibeba Ligi Basi FA unavutwa Mashati! Ukibeba FA, Basi Carabao Unakula Za Uso.

Inakuwa Kama Bahati Mbaya Ndiyo Ubebe Ligi, FA na Carabao Kwa Pamoja.

Kwahiyo Ajipange Kweli ili aweze Kufanikiwa.
 
imebidi nicheke tu maana hakuna namna,ivi hao United na Chelsea wana wachezaji gani hasaa wa kutisha mpaka Ramsey,Xhaka,Iwobi waonekane ni wabovu sanaaaa yaani kuna tofauti ya akina Young,Jones,Smalling,Herrera na wachezaji wa Arsenal ivi lile kundi la wahuni la Chelsea useme wanawazidi hasaaa squad ya Arsenal ebu punguzeni mahaba.
Unai Emery ni kocha mpya wa Arsenal sielewi mlikua mnataka nani apewe timu maana mmekuja mbio kumkosoa na sababu lukuki ni juzi tu hapa mlikua wachambuzi mkitunanga kisa Arteta alikua apewe timu leo mmegeuka anasema Unai ni tuone msimu ukianza kwanza wapo akina Klop na Mo' toka wamechukua vibarua vipya nao wanasota kubeba EPL achana na Spurs ambao kwao kombe lolote ni mtihani sasa sijui wanatisha kwa lipi.
Mkuu Emery/Jardim/Tuchel ni mmoja ya makocha wanaowafaa kwa sasa ndio maana niliwaambia Arteta hafai, nachopingana na baadhi wanaotegemea Emery anaweza chukua EPL kwenye hii miaka 3 in reality hawezi kuchukua ubingwa na hao wachezaji
 
Mkuu fanya hesabu ya gharama za kikosi cha Man city, fanya hesabu ya kikosi cha PSG halafu uje hapa na total.
Tangu jamaa wa Qatar waingie Carlo Ancelloti alishindwa kutwaa ubingwa mbele ya Montpellier hivyo Unai Emery ni wa pili
Kama unayo total tuwekee hapa,

Ukijumlisha 10 most expensive City players jumla ni £ 452m while 4 expensive PSG players jumla ni £ 426m
 
Kama unayo total tuwekee hapa,

Ukijumlisha 10 most expensive City players jumla ni £ 452m while 4 expensive PSG players jumla ni £ 426m
Ngoja nkusaidie total mkuu naona unaruka point ya msingi.
TOP 10 MOST EXPENSIVE SQUADS IN EUROPE.
1. Manchester City – £777m
2. PSG – £713m
3. Manchester United – £661m
4. Barcelona – £641m
5. Chelsea – £524m
6. Real Madrid – £439m
7. Liverpool – £408m
8. Juventus – £396m
9. Arsenal – £356m
10. Everton – £323m
 
Mkuu Emery/Jardim/Tuchel ni mmoja ya makocha wanaowafaa kwa sasa ndio maana niliwaambia Arteta hafai, nachopingana na baadhi wanaotegemea Emery anaweza chukua EPL kwenye hii miaka 3 in reality hawezi kuchukua ubingwa na hao wachezaji
Kwan wanaofaa kuchukua ubingwa ni wachezaji wa aina gan kaka???
 
Mkuu Sikosoi Taaluma Ya Emery Kwani CV Yake inajieleza Kuwa Yupo Vizuri tu Hilo halina Ubishi na Anaebisha Basi Hana Cha Kusaidiwa.

Lakini Kubusu Hayo Makombe 4 Aliyoyabeba Ni Sawa na Antony Joshua Kujisifia Ukanda Alioupata Kwa Kupambana na Mada Maugo.

PSG Kwa Ligi Ya Ufaransa Ni Sawa na Bayern Kwa Ligi Ya Ujerumani! Wana Uwezo Wa Kuyabeba Makombe Yote Ya Ligi Zao Kwa Miaka 10 Mfululizo Kwani Ni Ligi za Wakulima Na Mafundi Gereji.

Tofauti na EPL, Ukibeba Ligi Basi FA unavutwa Mashati! Ukibeba FA, Basi Carabao Unakula Za Uso.

Inakuwa Kama Bahati Mbaya Ndiyo Ubebe Ligi, FA na Carabao Kwa Pamoja.

Kwahiyo Ajipange Kweli ili aweze Kufanikiwa.
Hivi mkuu hujaliona jukwaa lenu la Liverpool mpaka kuja huku na kuleta uchambuzi wako fake kuhusu Arsenal?? Hebu kuwa mstaarabu basi
 
Back
Top Bottom