DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
sahihi mkuu vilevile player wakubwa wengi hawawapendi hawa makocha wadogowadogo dizain za kina arteta,wanataka kocha ambaye akiwatuma kufanya jambo wanatoa mwitiko halisi,mfano mzuri mesut yeye anasema ameongeza mkataba sababu ya wenger na amesikitika mno kuondoka kwake lakini anategemea atakayekuja ni kocha mkubwa dizan za kina wenger ili kuwe na discpline .........hawa makocha wadogo hawana mvuto kwa wachezaji wakubwaSikubaliani na wewe mkuu. Kwa kipindi hiki Arsenal inahitaji kocha mzoefu atakayeirudisha (a) katika top 4 (b)kugombania ubingwa sio mambo ya kujaribu jaribu. Kocha mzoefu kama Ancelotti ataweza kushawishi wachezaji wazuri kuhamia Arsenal na wengine kubaki Arsenal. Ukileta kocha sijui bwana mdogo atakuwa na wakati mgumu kumanage na kucontrol egos in the dressing room. Kumbuka ktk soka au michezo mingine hakuna plan ya kuwa na kocha for a long term. Makocha wote waliokaa ktk timu for a long time walikaa kwa sababu ya mambo mazuri waliyoyafanya sio ilikuwa plan from the beginning. Mfano Sir Alex inasemekana ilikuwa kidogo atimuliwe then akawin kombe la kwanza, wakampa trust. Isingekuwa hivyo angeshatimuliwa. Kifupi ni kuwa kukaa kwa kocha kwa muda mrefu ktk timu ina involve trust aliyopewa na board na mafanikio yake wakati akiwa kitini.
