Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu ya Huddersfield na mashabiki wao kesho wamepanga kumuaga AW kwa kusimama na kupiga makofi katika dakika ya 22 ya mchezo ikiwa ni ishara ya kumuaga AW alieitumikia Arsenal kwa miaka 22 ikumbukwe kesho itakua ni mechi yake ya mwisho kama mwalimu wa Arsenal.
IMG_5888.JPG

Wenger akiondoka (Colney) baada ya mazoezi yake ya mwisho leo ikimaanisha hatorudi tena hapo kama mwalimu wa Arsenal hii ni rasmi mwisho wa Wenger umefika.
Merci Arsene.......
 
Bodi ya Arsenal haijui la kufanya hivi sasa. Tutashangaa wanaajili hata mfagiaji kuwa kocha. Binafsi sitaki hawa makocha ambao hawana uzoefu wa first team experience sababu watazidi kutudidimiza. Arsenal tunahitaji kocha ambaye atakuja na new Approach tofauti kabisa. Kina Arteta, Vieira, Bergkamp, Henry wote wana chembechembe za kiufundishaji wa Wenger. Ni sawa na kusema mtoto wa baba yako mdogo/mkubwa au mtoto wa mjomba wako alivyo na DNA inayoweza kufanana na yako hata kama ni wa mbali kidogo. Wenger atakuwa amewa-affect kistaili. Yeah, watakuja na vitu vyingine vipya, najua kuna vitu hawakupenda from Wenger(kibinadamu, kiprofessional) lakini background(and ego) yao ya kuchezea Arsenal wakati ipo juu(bar Arteta) itawaweka wachezaji wa sasa ktk pressure Fulani.
Nataka wamchukuwe at least huyo wa Juventus au wamchukuwe kocha wa Germany. Then mambo yakiharibika (miaka 2 ijayo) wajaribu kwa hao former players. Ni mawazo yangu MABOVU.
 
Bodi ya Arsenal haijui la kufanya hivi sasa. Tutashangaa wanaajili hata mfagiaji kuwa kocha. Binafsi sitaki hawa makocha ambao hawana uzoefu wa first team experience sababu watazidi kutudidimiza. Arsenal tunahitaji kocha ambaye atakuja na new Approach tofauti kabisa. Kina Arteta, Vieira, Bergkamp, Henry wote wana chembechembe za kiufundishaji wa Wenger. Ni sawa na kusema mtoto wa baba yako mdogo/mkubwa au mtoto wa mjomba wako alivyo na DNA inayoweza kufanana na yako hata kama ni wa mbali kidogo. Wenger atakuwa amewa-affect kistaili. Yeah, watakuja na vitu vyingine vipya, najua kuna vitu hawakupenda from Wenger(kibinadamu, kiprofessional) lakini background(and ego) yao ya kuchezea Arsenal wakati ipo juu(bar Arteta) itawaweka wachezaji wa sasa ktk pressure Fulani.
Nataka wamchukuwe at least huyo wa Juventus au wamchukuwe kocha wa Germany. Then mambo yakiharibika (miaka 2 ijayo) wajaribu kwa hao former players. Ni mawazo yangu MABOVU.
Peleka board ya AFC hayo mawazo yako mabovu.
 
Bodi ya Arsenal haijui la kufanya hivi sasa. Tutashangaa wanaajili hata mfagiaji kuwa kocha. Binafsi sitaki hawa makocha ambao hawana uzoefu wa first team experience sababu watazidi kutudidimiza. Arsenal tunahitaji kocha ambaye atakuja na new Approach tofauti kabisa. Kina Arteta, Vieira, Bergkamp, Henry wote wana chembechembe za kiufundishaji wa Wenger. Ni sawa na kusema mtoto wa baba yako mdogo/mkubwa au mtoto wa mjomba wako alivyo na DNA inayoweza kufanana na yako hata kama ni wa mbali kidogo. Wenger atakuwa amewa-affect kistaili. Yeah, watakuja na vitu vyingine vipya, najua kuna vitu hawakupenda from Wenger(kibinadamu, kiprofessional) lakini background(and ego) yao ya kuchezea Arsenal wakati ipo juu(bar Arteta) itawaweka wachezaji wa sasa ktk pressure Fulani.
Nataka wamchukuwe at least huyo wa Juventus au wamchukuwe kocha wa Germany. Then mambo yakiharibika (miaka 2 ijayo) wajaribu kwa hao former players. Ni mawazo yangu MABOVU.
usijali wameshaanza mazungumzo na UNAI EMERY deal ikiwa poa atakuja hapo COLNEY
 
Julian Nagelsmann, ana miaka 30. Ni kocha wa Hoffenheim ya Ujerumani. Alichukua timu ikiwa inataka kushuka daraja lkn hivi sasa ni ya 3 kwenye msimamo wa bundesliga Kwa Mara ya kwanza Hoffenheim inashiriki UCL group stage chini yake.. Kuna tetesi pia ndiye mrithi sahihi wa Wenger.
Yajayo yanafurahisha.
 
wenger leo anaaga kwa kichapo yaani katika game ngumu za leo basi ni hii ya aseno na huddersfield kwani jamaa wanashika nafasi ya 4 kutoka chini ni kufungwa kwao itakuwa sio vizuri
 
Haya wakuu, tumevuna kilichopandwa na AW, hatujuwi kocha gani atakuja, Allegre kachomoa, yawezekana kaambiwa hakuna hela na atumie hawa hawa alionawo, ambao AW kadai ni special players (remember how many points they are far from Man City & Man U)!, sasa sijuwi u special wao uko wapi...
Anyway ndio tumefikia hapo..
Tumuage babu, ila ni masikitiko kwa kweli...
 
amesepa swahiba na kuanzia leo tuko roho mkononi hatujui anakuja nani
Mungu tunusuru na yule Arteta wallahi maana nahisi maisha yatakua magumu haswaaaaa.
Fungeni nafsi zenu kwa misimu mingine mitatu labda ndo mtaanza kupata matokeo mazuri.
 
usijali wameshaanza mazungumzo na UNAI EMERY deal ikiwa poa atakuja hapo COLNEY
Imeshakuwa ana ana ana do sasa. Wakishindwa hapo watakwenda kwa Moyes, Pardew, Big Sam, etc. Arsenal let's go
 
amesepa swahiba na kuanzia leo tuko roho mkononi hatujui anakuja nani
Mungu tunusuru na yule Arteta wallahi maana nahisi maisha yatakua magumu haswaaaaa.
dah maana ......ila nafikiri neema inakuja tuondoe mashaka naamini atakayekuja hatotembelea nyota ya mzee,mimi nilitaka kocha mkalimkali na kauzu kwelikweli yani awe na hamasa ya kutosha sio kama babu ...yaani tungepata aina ya kina klopp,simeone,gattuso,(djuma masoud)
 
Back
Top Bottom