Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umenena swahiba kwa EPL ilivyokaa inabidi tuwe tu wavumilivu kwa misimu kadhaa ndoto ya kubeba ile ndoo iwe sio ya kuiamini.
Fungeni nafsi zenu kwa misimu mingine mitatu labda ndo mtaanza kupata matokeo mazuri.
ushasikia Arteta yumo kweye list ya warithi wa AW hata sijui wanatumia vigezo gani mpaka yule swahiba nae awe kwenye list.

Imeshakuwa ana ana ana do sasa. Wakishindwa hapo watakwenda kwa Moyes, Pardew, Big Sam, etc. Arsenal let's go
 
Umenena swahiba kwa EPL ilivyokaa inabidi tuwe tu wavumilivu kwa misimu kadhaa ndoto ya kubeba ile ndoo iwe sio ya kuiamini.

ushasikia Arteta yumo kweye list ya warithi wa AW hata sijui wanatumia vigezo gani mpaka yule swahiba nae awe kwenye list.
Ukijumuisha na ubakhili wa muwekezaji wenu na kutokuwa mtu wa mpira mfunge nafsi tu kwakweli
 
kuna katimu kamoja huko spain kalikuwa kanafukuzia record ya unbeaten jana kameumbuliwa dadadek kamegongwa 5 hahahahahaha viva ARSENAL......thanks WENGER
 
Hahahaha wee jamaa utakua unaishi mochwari..mana sio kwa ujasiri huo
Ujasiri ni ushindi.Sasa ikiwa timu ina striker ana mechi kumi tu ana magoli mengi 13 kuliko mastreka wa timu zenu waliokaa msimu mzima hata nusu hawana unategemea vp akikaa msimu wote.
Angalia jumla ya magoli ya Abu na aliyofunga Martial msimu wote au Rooney.
 
dah maana ......ila nafikiri neema inakuja tuondoe mashaka naamini atakayekuja hatotembelea nyota ya mzee,mimi nilitaka kocha mkalimkali na kauzu kwelikweli yani awe na hamasa ya kutosha sio kama babu ...yaani tungepata aina ya kina klopp,simeone,gattuso,(djuma masoud)
Yaani pale anahitajika kocha mkuda na mnoko ile mbaya, legelege wote tupa kule...
 
Mpya kuhusu mrithi wa Wenger.

Wagombea wawili wanaoongoza sasa hivi kuwania kazi ya kufundisha Arsenal ni Mikel Arteta na Julian Nagelsmann, kwa mujibu wa taarifa kutoka Sky Sports, hiyo baada ya Massimiliano Allegri kusema kwamba atabaki Juventus msimu ujao labda kama watamfukuza.

Na mpaka sasa taarifa zinasema kwamba Arsenal bado hawajafanya mawasiliano ya rasmi kwa Patrick Vieira au Thierry Henry.

Luis Enrique anaitaka kazi hiyo lakini mshahara anaotaka umewafanya Arsenal kuangalia mahala pengine. Mchakato wa usaili unatarajiwa kufanyika wiki hii.

Arsenal wanataka kocha mpya kabla ya kuanza kwa fainali za kombe la Dunia, Juni 14.
IMG-20180514-WA0005.jpg
 
Allegri anataka kubaki Juve.

Massimiliano Allegri amejiweka mbali na tetesi za kuhamia Arsenal akisema kwamba ana matumaini ya kubaki Juventus msimu ujao.

Akiongea baada ya Juventus kutwaa taji la nne mfululizo katika uongozi wake kwa kupata sare ya 0-0 dhidi ya AS Roma , Allegri aliwaambia waandishi wa habari wa Italia , " Kama wasiponifukuza, nitabaki Juventus msimu ujao pia."

Allgeri atafanya mazungumzo na Juventus kuhusu mustakabali wake wiki hii . Amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na Mwenyekiti , Andrea Agnelli na Guiseppe Marotta wanataka kumpa ofa ya mkataba mpya.

Arsenal wanataka kuajiri kocha mpya kabla ya fainali za kombe la Dunia kuanza Juni 14.

Taarifa kutoka Sky Sports zinasema kwamba Arsenal wanamtaka Allgeri na kocha wa zamani wa Barcelona Luis Enrique kuchukua mikoba ya Wenger lakini makocha wote wawili wana wasiwasi kuhusu Mfumo wa Usimamizi ndani ya Gunners.

Kiungo wa zamani wa Arsenal Mikel Arteta bado anaonekana kuongoza mbio za kuwa kocha mpya wa Gunners licha ya kukosa uzoefu wa kutosha wa kuwa kocha . Kwa sasa ni kocha msaidizi wa Manchester City.
FB_IMG_1526301745583.jpg
 
Ujasiri ni ushindi.Sasa ikiwa timu ina striker ana mechi kumi tu ana magoli mengi 13 kuliko mastreka wa timu zenu waliokaa msimu mzima hata nusu hawana unategemea vp akikaa msimu wote.
Angalia jumla ya magoli ya Abu na aliyofunga Martial msimu wote au Rooney.
UKICHEKI KWA MAKINI HUYU AUBA KAMA ATACHEZA MSIMU UJAO KWA KIWANGO HIKI HAKIKA YEYE ATABEBA TUZO ZOTE ALIZOBEBA SALAH MWAKA HUU........STATISTICS ZAKE NI NZURI SANA KWANI ANAWAZIDI KARIBIA WASHAMBULIAJI WOTE KATKA LIGI KIUHALISIA
 
THOMAS TUCHER ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa PARIS SAINT GERMAN
ROBERTO MANCINI nae amepewa kandarasi ya miaka miwili kuinoa timu ya taifa ya ITALY, hili jambo linaashiria jambo jema kwetu kwani linamuweka karibu mzee CARLO ANCELOTTI ambaye alikuwa katika listi ya makocha wanaowaniwa na GUNNERS lakini akawekwa pending kutokana na yeye kuwa miongoni mwa watu waliotumainiwa kuchukua kikosi cha AZZURI lakini kutokana na nafasi hiyo kuwa tayari imeshapata mtu anarudi tena katika listi yetu,

HUYU BABU NAE YUPO VIZURI KUTOKANA NA REKODI YAKE NA UZOEFU ALIONAO
 
THOMAS TUCHER ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa PARIS SAINT GERMAN
ROBERTO MANCINI nae amepewa kandarasi ya miaka miwili kuinoa timu ya taifa ya ITALY, hili jambo linaashiria jambo jema kwetu kwani linamuweka karibu mzee CARLO ANCELOTTI ambaye alikuwa katika listi ya makocha wanaowaniwa na GUNNERS lakini akawekwa pending kutokana na yeye kuwa miongoni mwa watu waliotumainiwa kuchukua kikosi cha AZZURI lakini kutokana na nafasi hiyo kuwa tayari imeshapata mtu anarudi tena katika listi yetu,

HUYU BABU NAE YUPO VIZURI KUTOKANA NA REKODI YAKE NA UZOEFU ALIONAO
Ancelotti anakwenda Napoli while Sari huenda akatua Chelsea
 
MUDA HAKIMU MZURI,TUSUBIRI
Na Arsenal haihitaji kocha mzee kama Ancelotti ambaye ameshashinda kila kombe,Arsenal inahitaji kocha kijana ambaye ataweza kujenga timu ya muda mrefu,Tuchel au Jardim walikuwa the best option kwa Arsenal.Tuchel akiwafundisha Mikhi na Auba kule Dortmund
 
Na Arsenal haihitaji kocha mzee kama Ancelotti ambaye ameshashinda kila kombe,Arsenal inahitaji kocha kijana ambaye ataweza kujenga timu ya muda mrefu,Tuchel au Jardim walikuwa the best option kwa Arsenal.Tuchel akiwafundisha Mikhi na Auba kule Dortmund
Sikubaliani na wewe mkuu. Kwa kipindi hiki Arsenal inahitaji kocha mzoefu atakayeirudisha (a) katika top 4 (b)kugombania ubingwa sio mambo ya kujaribu jaribu. Kocha mzoefu kama Ancelotti ataweza kushawishi wachezaji wazuri kuhamia Arsenal na wengine kubaki Arsenal. Ukileta kocha sijui bwana mdogo atakuwa na wakati mgumu kumanage na kucontrol egos in the dressing room. Kumbuka ktk soka au michezo mingine hakuna plan ya kuwa na kocha for a long term. Makocha wote waliokaa ktk timu for a long time walikaa kwa sababu ya mambo mazuri waliyoyafanya sio ilikuwa plan from the beginning. Mfano Sir Alex inasemekana ilikuwa kidogo atimuliwe then akawin kombe la kwanza, wakampa trust. Isingekuwa hivyo angeshatimuliwa. Kifupi ni kuwa kukaa kwa kocha kwa muda mrefu ktk timu ina involve trust aliyopewa na board na mafanikio yake wakati akiwa kitini.
 
Sikubaliani na wewe mkuu. Kwa kipindi hiki Arsenal inahitaji kocha mzoefu atakayeirudisha (a) katika top 4 (b)kugombania ubingwa sio mambo ya kujaribu jaribu. Kocha mzoefu kama Ancelotti ataweza kushawishi wachezaji wazuri kuhamia Arsenal na wengine kubaki Arsenal. Ukileta kocha sijui bwana mdogo atakuwa na wakati mgumu kumanage na kucontrol egos in the dressing room. Kumbuka ktk soka au michezo mingine hakuna plan ya kuwa na kocha for a long term. Makocha wote waliokaa ktk timu for a long time walikaa kwa sababu ya mambo mazuri waliyoyafanya sio ilikuwa plan from the beginning. Mfano Sir Alex inasemekana ilikuwa kidogo atimuliwe then akawin kombe la kwanza, wakampa trust. Isingekuwa hivyo angeshatimuliwa. Kifupi ni kuwa kukaa kwa kocha kwa muda mrefu ktk timu ina involve trust aliyopewa na board na mafanikio yake wakati akiwa kitini.
Tuchel & Jardim wanaweza kuifikisha Arsenal top 4 ,Ancelotti hana njaa ameshinda almost kila kitu na ameshafundisha ligi kubwa zote (Italy,England,France,Spain & Germany) ni pia rekodi yake sio nzuri kwenye domestic league.

Ancelotti ni kocha wa budget kubwa kitu ambacho Arsenal hawawezi kumpa hela but Allegri,Jardim na Tuchel sio makocha wanao hitaji budget kubwa
 
Tuchel & Jardim wanaweza kuifikisha Arsenal top 4 ,Ancelotti hana njaa ameshinda almost kila kitu na ameshafundisha ligi kubwa zote (Italy,England,France,Spain & Germany) ni pia rekodi yake sio nzuri kwenye domestic league.

Ancelotti ni kocha wa budget kubwa kitu ambacho Arsenal hawawezi kumpa hela but Allegri,Jardim na Tuchel sio makocha wanao hitaji budget kubwa
kwahili haupo sahihi mkuu ukisema kuwa ANCELOTTI ameshiba mafanikio dah hiyo ndio nakusikia wewe ,unasemaje maneno kama hayo katika dunia hii ya marekodi kila mtu anataka kuweka rekodi kubwa isiyofikiwa na wengine ili awepo katika vtabu vya kumbukumbu ya vizazi kwa vizazi............na ukisema mzee hayupo vizuri katika domestic league unamaanisha yupo vizuri katika international league eg. UCL e.t.c na sisi ndio njaa yetu hiyo so bado naona point zako hazijawa na mashiko........kikubwa tuangalie nani atakuwa selected
 
Back
Top Bottom