Komenti ya kufungia mwezi januaryMmebanana humu kama kuku wa kisasa...mtulie nyie asenyani.
Komenti ya kufungia mwezi januaryMmebanana humu kama kuku wa kisasa...mtulie nyie asenyani.
Hili ni gazeti la udaku usiliamini sana.Tetesi
Wakati huo huo gazeti la Daily Star la Jumapili limethibitisha kuwa Arsenal wamepania kushinda mchuano wa kutia saini mkataba na mlinzi wa West Brom Jonny Evans, mwenye miaka 30, huku Manchester City wakiwa na uhakika wa kusaini mkataba na Aymeric Laporte kutoka Athletic Bilbao.
Nyie ni wazee wa mtaa wa 6Inatakiwa mtu amiminiwe nyingi Leo, na kwa mwendo huo nafasi ya 3 au pili itatuhusu mpaka mwisho wa msimu
Hili ni gazeti la udaku usiliamini sana.
Dah, tunanunua mashati ila matako yako wazi kabisa.
Kuna comment humu nilikwambia Liver wanawafungaga wakubwa, wale walio chini ya top 6 huwasumbua.
Kwani dortmund ni klabu ndogo duniani au uko usingizini.Ha haa povu, watu wananunua wachezaji bora duniani wewe unanunua mchezaji bora Dorrmund. Kuna tofauti kubwa hapa.
Mkuu achana nae huyo ni mke wangu yupo mp Siku ya pili leo.Kwani dortmund ni klabu ndogo duniani au uko usingizini.
Wewe mpira huujui ingefaa uendelee huko huko kwenye Biko kunakufaa.