Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tetesi

Wakati huo huo gazeti la Daily Star la Jumapili limethibitisha kuwa Arsenal wamepania kushinda mchuano wa kutia saini mkataba na mlinzi wa West Brom Jonny Evans, mwenye miaka 30, huku Manchester City wakiwa na uhakika wa kusaini mkataba na Aymeric Laporte kutoka Athletic Bilbao.
Hili ni gazeti la udaku usiliamini sana.
 
Dah, tunanunua mashati ila matako yako wazi kabisa.


Unaikumbuka Comment Yako Hii uliyoniquote kwenye Hule Uzi wetu kule? ↓↓


Kuna comment humu nilikwambia Liver wanawafungaga wakubwa, wale walio chini ya top 6 huwasumbua.


Sasa Sisi (Liverpool) tulifungwa "MOJA" na Nyinyi Mumefungwa "TATU" na Swansea Huyohuyo! Then from nowhere unakuja with empty mind unazungumza vitu vya Kiajabuajabu!!!

Mimi Katika EPL msimu huu nimefungwa Michezo Mitatu..

1) Man City
2) Spurs
3) Swansea

Ni Mmoja tu hapo aliye nje ya Top 6 ndiye aliyenifunga!! Sijui wewe Mwenzangu Waweza Niandikia Hapa Ni Wangapi Walio nje ya Top 6 wameshakufunga?
Sasa hapo tutaona Kati ya Mimi na Wewe nani Ana kawaida ya Kuliwa na Vibonde!!!
 
official,,,,aubameyang is a gooner
Screenshot_2018-01-31-14-15-04.png
 
Back
Top Bottom