Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha apigwe ili aharakishe usajili yaani huyu babu akishinda siku kama hz OG haondoki.
Siku zote beki ndo wanatupia foward wako wapi na viungo.
Imetulia vyema.
 
sasa alichomtolea elneny sijui nikitu gani wakati wakina Ramsey wanazurura tu bila msaada wowote

Mwarabu alikua akiisaidia defence line isifikiwe kiurahisi
 
Mou mrudishe mikhi manchester huku kwa kwa hawa aseno anatia huruma kweli
Hivi auba huko aliko si atakuwa amekata tamaa
 
Back
Top Bottom