Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

IMG_20180131_194432_713.JPG
 

Pamoja na mapungufu yake ila OG12 alikua Gooner haswaaaa alie-dedicate kipaji chake kwa ajili ya Arsenal,mara nyingi amenikera ila naheshimu mchango wake kwa Arsenal (100+ goals) si haba.
Ila kwa kua ilibidi uondoke ili Auba (top...top...top STRIKER) awe mali yetu ilibidi tukutoe kafara ili familia ibakie salama kwanza,Kila la heri OG12
Once a GOONER.............
 
Pamoja na mapungufu yake ila OG12 alikua Gooner haswaaaa alie-dedicate kipaji chake kwa ajili ya Arsenal,mara nyingi amenikera ila naheshimu mchango wake kwa Arsenal (100+ goals) si haba.
Ila kwa kua ilibidi uondoke ili Auba (top...top...top STRIKER) awe mali yetu ilibidi tukutoe kafara ili familia ibakie salama kwanza,Kila la heri OG12
Once a GOONER.............
Umeandika ukweli pana game alikuwa anawabeba kweli tena kuna moja mmeisha tanguliwa na Bournemouth akaja kuchomoa jioni kabisa.
 
Unaikumbuka Comment Yako Hii uliyoniquote kwenye Hule Uzi wetu kule? ↓↓





Sasa Sisi (Liverpool) tulifungwa "MOJA" na Nyinyi Mumefungwa "TATU" na Swansea Huyohuyo! Then from nowhere unakuja with empty mind unazungumza vitu vya Kiajabuajabu!!!

Mimi Katika EPL msimu huu nimefungwa Michezo Mitatu..

1) Man City
2) Spurs
3) Swansea

Ni Mmoja tu hapo aliye nje ya Top 6 ndiye aliyenifunga!! Sijui wewe Mwenzangu Waweza Niandikia Hapa Ni Wangapi Walio nje ya Top 6 wameshakufunga?
Sasa hapo tutaona Kati ya Mimi na Wewe nani Ana kawaida ya Kuliwa na Vibonde!!!
Nakumbuka, sasa kwani mimi niliongelea Arsenal ktk hiyo comment?? Niliongelea Liverpool kutokana na rekodi zao za nyuma, kama msimu huu wame-improve basi vizuri.
Mimi kama mwanamichezo, hainizuii kutoa mawazo yangu kuhusu liver.

Mimi ni The Goonerz wa ukweli, kufungwa hakunivui ushabiki ingawa nakereka.

Hongera kwa ushindi wa jana.
 
Nakumbuka, sasa kwani mimi niliongelea Arsenal ktk hiyo comment?? Niliongelea Liverpool kutokana na rekodi zao za nyuma, kama msimu huu wame-improve basi vizuri.
Mimi kama mwanamichezo, hainizuii kutoa mawazo yangu kuhusu liver.

Mimi ni The Goonerz wa ukweli, kufungwa hakunivui ushabiki ingawa nakereka.

Hongera kwa ushindi wa jana.
Nimeipenda comment yako ya kiungwana na ki-uanamichezo. Gooner for life.....
 
[HASHTAG]#Everton[/HASHTAG] vs [HASHTAG]#Leicester[/HASHTAG]..
Theo kapiga 2!
Kumbe wakiondoka wanakuwa serious eehh?! Nyambafu kabisa..
 
Pamoja na mapungufu yake ila OG12 alikua Gooner haswaaaa alie-dedicate kipaji chake kwa ajili ya Arsenal,mara nyingi amenikera ila naheshimu mchango wake kwa Arsenal (100+ goals) si haba.
Ila kwa kua ilibidi uondoke ili Auba (top...top...top STRIKER) awe mali yetu ilibidi tukutoe kafara ili familia ibakie salama kwanza,Kila la heri OG12
Once a GOONER.............
Angeliuza li Welbeck au Iwobi sio OG bhanaa; im sad today.
 
Back
Top Bottom