bye bye giroudView attachment 688220



Umeandika ukweli pana game alikuwa anawabeba kweli tena kuna moja mmeisha tanguliwa na Bournemouth akaja kuchomoa jioni kabisa.Pamoja na mapungufu yake ila OG12 alikua Gooner haswaaaa alie-dedicate kipaji chake kwa ajili ya Arsenal,mara nyingi amenikera ila naheshimu mchango wake kwa Arsenal (100+ goals) si haba.
Ila kwa kua ilibidi uondoke ili Auba (top...top...top STRIKER) awe mali yetu ilibidi tukutoe kafara ili familia ibakie salama kwanza,Kila la heri OG12
Once a GOONER.............![]()
Nakumbuka, sasa kwani mimi niliongelea Arsenal ktk hiyo comment?? Niliongelea Liverpool kutokana na rekodi zao za nyuma, kama msimu huu wame-improve basi vizuri.Unaikumbuka Comment Yako Hii uliyoniquote kwenye Hule Uzi wetu kule? ↓↓
Sasa Sisi (Liverpool) tulifungwa "MOJA" na Nyinyi Mumefungwa "TATU" na Swansea Huyohuyo! Then from nowhere unakuja with empty mind unazungumza vitu vya Kiajabuajabu!!!
Mimi Katika EPL msimu huu nimefungwa Michezo Mitatu..
1) Man City
2) Spurs
3) Swansea
Ni Mmoja tu hapo aliye nje ya Top 6 ndiye aliyenifunga!! Sijui wewe Mwenzangu Waweza Niandikia Hapa Ni Wangapi Walio nje ya Top 6 wameshakufunga?
Sasa hapo tutaona Kati ya Mimi na Wewe nani Ana kawaida ya Kuliwa na Vibonde!!!
Nimeipenda comment yako ya kiungwana na ki-uanamichezo. Gooner for life.....Nakumbuka, sasa kwani mimi niliongelea Arsenal ktk hiyo comment?? Niliongelea Liverpool kutokana na rekodi zao za nyuma, kama msimu huu wame-improve basi vizuri.
Mimi kama mwanamichezo, hainizuii kutoa mawazo yangu kuhusu liver.
Mimi ni The Goonerz wa ukweli, kufungwa hakunivui ushabiki ingawa nakereka.
Hongera kwa ushindi wa jana.
Dah, Ozil kanifurahisha saaaana.Ozil nae kasaini miaka 3 na nusu yani mamboni moto anakula 350,000 kwa wiki
Mkuu unamlinganisha Klopp na huyo professor??Sasa unamuuza Giroud then unamwacha Iwobi?
Bangi Za Klopp kumbe hata Arsene nae anavuta
Tutam miss, liked Olivier...
Angeliuza li Welbeck au Iwobi sio OG bhanaa; im sad today.Pamoja na mapungufu yake ila OG12 alikua Gooner haswaaaa alie-dedicate kipaji chake kwa ajili ya Arsenal,mara nyingi amenikera ila naheshimu mchango wake kwa Arsenal (100+ goals) si haba.
Ila kwa kua ilibidi uondoke ili Auba (top...top...top STRIKER) awe mali yetu ilibidi tukutoe kafara ili familia ibakie salama kwanza,Kila la heri OG12
Once a GOONER.............![]()
Kuna jitu limefungwa 3 na timu ya mkiani linamcheka aliyefungwa 2 na totenham...dunia haiishi vituko..Twendeni tukawaopoe wenzetu daraja limesombwa na mafuriko

Kuna jitu limefungwa 3 na timu ya mkiani linamcheka aliyefungwa 2 na totenham...dunia haiishi vituko..![]()