Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Huyo naye anataka sifa tu sasa wale walionao hawamtoshiFanyeni faster, Mou anataka kumbeba hata kwa 80.
Huyo naye anataka sifa tu sasa wale walionao hawamtoshiFanyeni faster, Mou anataka kumbeba hata kwa 80.
Hicho kimoja mlikileta wewe na hawaala yako. Nenda kwenu huku ni arsenal tuuWalivyoondoka hao maisha hayakusonga mbele, mna kakikombe kamoja tu toka waondoke tena na FA. Shida sana.
Ivi unajua Auba atacheza Alhamisi (Europa) kule anakobakia piaAube anakujaje timu ambayo hata nafasi ya nne imeshindikana, yaani umpeleke akacheze uefa Alhamisi!!
Una uhakika Arsenal amebeba kikombe kimoja tu au soka umedandia tu swahiba?Walivyoondoka hao maisha hayakusonga mbele, mna kakikombe kamoja tu toka waondoke tena na FA. Shida sana.
siasa za wenga tu izo..
Venga bau noma.




