Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio kweli, kulikuwa na creativity kubwa sana ile siku Nasri alipopiga lile goli tamu! Nasema tena: Gunners ni timu sio mtu. Hata akienda Barca huyo dogo sisi tutapeta tu. Tena in 1 or 2 years Diaby atamature na hapo ndio utaelewa kwa nini Monseur ni bingwa wa kukuza vipaji!
tatizo mkuu sizungumziii mechi moja nazungumzia in general.

gunners ni timu mkuu na naona tofauti yangu na wewe ni kwamba mimi nasema kwamba tunauwezo wa kuperform zaidi ya sasa na kuifunga timu yoyote duniani kama tutakuwa aggressive kila game.huwa tuko so much relax tuwe tumefungwa au tunaongoza badala ya kufinish games.

wachezaji wetu wanahitaji ku-fight zaidi kama tunataka kuchukua kombe.

mkuu kutofautiana mawazo ni kitu chaz kawaida,kusema kweli mechi ya jana mimi imeniuma sana ukiangalia na nafasi tuliokuwepo na jinsi kombe lilivyo open sasa hivi.

tuko kwenye title race,tunaongoza goli 1 dakika ya 90 tunaenda kumaliza kwa draw ni vigumu sana kuchukua kombe kwa njia hii.lazima tuoneshe nia na kupigana mpaka dakika ya mwisho.

na alichosema belo kwa style ya jana hata kama mechi ziwe na pompey tunaweza tusishinde ni kweli kwani tuko so much relax.kombe bado liko open lakini lazima tupigane hadi mwisho hakuna kulala wala kuzarau mechi yoyote.
 
Wenga naona akili imeingia ukungu kwa kumhofia Messi! Majuzi watalaamu wamesema timu inafaiti hadi mwisho. Na ndio maana mechi kibao imefunga magoli dakika za lala salama. Hata hiyo ya jana ilikuwa iwe hivyo. Sasa wewe unajeneralaizi kwenye ligi nzima. Hivi unajua tumefungwa mechi ngapi? Zichambue zote halafu uniambie kama vijana hawakufaiti hadi dakika ya mwisho - anza na gemu la Manchester City? Hapa ishu sio kutofautiana mawazo- ishu ni kuweka facts sawa! Mechi ya jana vijana walikuwa ofu kwa hofu ya kibano cha jumatano!
 
Wenga naona akili imeingia ukungu kwa kumhofia Messi! Majuzi watalaamu wamesema timu inafaiti hadi mwisho. Na ndio maana mechi kibao imefunga magoli dakika za lala salama. Hata hiyo ya jana ilikuwa iwe hivyo. Sasa wewe unajeneralaizi kwenye ligi nzima. Hivi unajua tumefungwa mechi ngapi? Zichambue zote halafu uniambie kama vijana hawakufaiti hadi dakika ya mwisho - anza na gemu la Manchester City? Hapa ishu sio kutofautiana mawazo- ishu ni kuweka facts sawa! Mechi ya jana vijana walikuwa ofu kwa hofu ya kibano cha jumatano!
Mkulu na wewe hapa unatuchefua,hakuna mwenye hofu na kichapo jtano wao Barca ndo wana hofu na sisi kwa jinsi tutakavyowachapa kipigo cha mbwa mwizi..ahahaaahh
 
Mkulu na wewe hapa unatuchefua,hakuna mwenye hofu na kichapo jtano wao Barca ndo wana hofu na sisi kwa jinsi tutakavyowachapa kipigo cha mbwa mwizi..ahahaaahh

hofu ya kibano haimaanishi kibano kitatokea. lazima tukubali ukweli: vijana walikuwa na hofu. arshavin akili haikuwa uwanjani - cheki goli alilokosa. almunia mawazo yalikuwa kwao hispania - cheki alivyofungwa kiaina na alivyokoswakoswa kwenye lile besela. mtu pekee ambaye hakuonesha woga ni alexander song billong. dogo mwingine ambaye alificha hofu kiasi ni samir nasri!
 
Wenga naona akili imeingia ukungu kwa kumhofia Messi! Majuzi watalaamu wamesema timu inafaiti hadi mwisho. Na ndio maana mechi kibao imefunga magoli dakika za lala salama. Hata hiyo ya jana ilikuwa iwe hivyo. Sasa wewe unajeneralaizi kwenye ligi nzima. Hivi unajua tumefungwa mechi ngapi? Zichambue zote halafu uniambie kama vijana hawakufaiti hadi dakika ya mwisho - anza na gemu la Manchester City? Hapa ishu sio kutofautiana mawazo- ishu ni kuweka facts sawa! Mechi ya jana vijana walikuwa ofu kwa hofu ya kibano cha jumatano!
kwahio wolves nayo tutashindwa kushinda kwa vile tutakuwa na hofu ya mechi ya marudiano na barcelona? hio sababu siwezi kuikubali kabisa kwamba hofu ndio imetufanya tupoteza.mechi ya jana ilitusumbua kama mechi zote za physical game zinavyotusumbua. mechi ya barcelona ni rahisi kuliko na birmingham kwa vile barcelona watatuachia tucheze mpira wetu kwani wao style yao ni sawa na sisi hawako too physical.

mechi tulizopoteza kuanzia,man city beki ilikuwa inapanda sana na kujisahau tukawa tunakamatwa kwenye counter attack.vijana wali focus sana kwa adebayor baada kufocus kwenye game.

game 2 na chelsea ,tumeshindwa kwa vile ilikuwa physical game na ndio ubovu wetu kwenye timu zinazotumia nguvu we need a plan b kama kushinda games kama hizi ambayo kuwa physical na sisi sio kuwaacha wanatupiga ma-push kila wakati.

game na man united 2,game ya kwanza tuli-fight vizuri game ya pili NANI alituua kwa vile clichy alikuwa anajisahau anapokuwa anapnda matokeo tukawa tunakamatwa vizuri tu kwenye counter attack.

game na sunderland tulifungwa kutokana na physical game yao kama kawaida yetu jamaa wakapata bahati la goli lao dakika za mwisho ndio kitu kikalala.

hizo ndio sababu nilizoziona mimi lakini kwamba mtu unajaribu kugombania makombe alafu unasema kwamba game na barcelona ndio imetuchanganya akili hio si kweli,hata hao wachezaji hawawezi kutoa sababu kama hio kwamba wame focus kwenye game ya barcelona no way.

namalizia tena mkuu kama tunataka kombe msimu huu we have to fight harder.
 
. arshavin akili haikuwa uwanjani - cheki goli alilokosa. almunia mawazo yalikuwa kwao hispania - cheki alivyofungwa kiaina
kosa la kukosa magoli ya wazi huwa yanatutokea kila siku bila kuwa na game ya champions league wala nini.

almunia magoli ya kizembe yanatokeaga bila kuwa na game ya champions league inakuja wala nini.

makombe mawili tu yamebaki mkuu na tuna mda wa kutosha wa ku-fight kama tutakaza buti huo ndio ukweli.mara nyingi tumefika kwenye hatua hizi na tumejionea tunavyochanganya habari na mwisho tunakosa yote.sasa kwanini tusijifunze kwa makosa yaliopita hili kufanikisha ya mbeleni?

hatuwezi kutumia sababu hizo hizo miaka nenda rudi.huu msimu huko open na tunahitaji kukaza buti.
 
Wenga mbona unakuwa mbishi kama pishi wakati kila kitu kiko wazi. Kama Adebayo aliwadistract kama hoja yako inavyosema, na nakubaliana nayo, kwa nini hukubali kuwa Messi kawadistract jana? Na kama hofu sio tatizo kwa nini wajina wako alisema hivi kabla ya mechi:

Wenger, meanwhile, insists he has no intention of letting any of his players get carried away in the pre-match hype - feeling his team were a "bit distracted by all the fuss about the draw'' when only showing patches of their true form during the 2-0 win over West Ham on Saturday. (http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=759744&sec=uefachampionsleague&cc=3888)

?

Sasa fikiria walianza kuwa distracted toka siku walipocheza na West Ham. Sasa jana ndio ikawa balaa. Hivi sasa ndio wamechanganyikiwa kabisa ndio maana wajina wako kasema hivi:

He said: "Will it be hard to lift the players up for Barcelona? Yes, it is always hard to pick the players up when you get caught like that at the end of a game."We are on a run that is very difficult and where we have no room for error at all so the result at Birmingham was a big disappointment. It felt like a defeat but the game against Barcelona is in a different competition and we have a few days to recover and prepare. (http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=762797&sec=uefachampionsleague&cc=3888)
 
Wenga mbona unakuwa mbishi kama pishi wakati kila kitu kiko wazi. Kama Adebayo aliwadistract kama hoja yako inavyosema, na nakubaliana nayo, kwa nini hukubali kuwa Messi kawadistract jana? Na kama hofu sio tatizo kwa nini wajina wako alisema hivi kabla ya mechi:

Wenger, meanwhile, insists he has no intention of letting any of his players get carried away in the pre-match hype - feeling his team were a "bit distracted by all the fuss about the draw'' when only showing patches of their true form during the 2-0 win over West Ham on Saturday. (http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=759744&sec=uefachampionsleague&cc=3888)

?

Sasa fikiria walianza kuwa distracted toka siku walipocheza na West Ham. Sasa jana ndio ikawa balaa. Hivi sasa ndio wamechanganyikiwa kabisa ndio maana wajina wako kasema hivi:

He said: "Will it be hard to lift the players up for Barcelona? Yes, it is always hard to pick the players up when you get caught like that at the end of a game."We are on a run that is very difficult and where we have no room for error at all so the result at Birmingham was a big disappointment. It felt like a defeat but the game against Barcelona is in a different competition and we have a few days to recover and prepare. (http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=762797&sec=uefachampionsleague&cc=3888)
powa mkuu lets focus kwenye game ya jumatano.
 
powa mkuu lets focus kwenye game ya jumatano.

mzee arsene wenger usiwe na shaka mtashinda.Barca watakuwa wanammiss XAVI na INIESTA wote injured hao,ni sawa arsenal wasiwe na fabregas na nani sijui nasri/diaby/song
 
mzee arsene wenger usiwe na shaka mtashinda.Barca watakuwa wanammiss XAVI na INIESTA wote injured hao,ni sawa arsenal wasiwe na fabregas na nani sijui nasri/diaby/song
Are you sure Xavi yuko injured?
 
Sasa unaunga mkono longolongo? Yaani unaamini anachosema Belo kuhusu Fabregas wakati unajua fika kuwa zile mechi ambazo hakucheza tulishinda tena kwa kishindo au Phillips kakuchanganya? Pengine umesahau mambo ya Nasri?
Mkubwa perfomance ya NASRI imeanza kupanda hivi karibuni, na kwa sasa Fabregas sasa anacheza akiwa majeruhi, wachezaji wengi hawako consistency angalia kama Almunia leo anadaka penati mechi ijayo anafungwa goli la kizembe i hope angekuwa Galas uwanjani angemkoromea
Arshavin msimu huu ni kawaida kukosa magoli ya wazi but anafunga kwenye imposible angle
 
Mkubwa perfomance ya NASRI imeanza kupanda hivi karibuni, na kwa sasa Fabregas sasa anacheza akiwa majeruhi, wachezaji wengi hawako consistency angalia kama Almunia leo anadaka penati mechi ijayo anafungwa goli la kizembe i hope angekuwa Galas uwanjani angemkoromea
Arshavin msimu huu ni kawaida kukosa magoli ya wazi but anafunga kwenye imposible angle

...Belo, huo ndio uwazi na ukweli!
"Together we stand!"
 
QUOTE OF THE WEEKEND:
Arsene Wenger drops the f-bomb when quizzed about Birmingham's physical approach: "Come on, leave me alone with that for f**k's sake. You do not need me to see what happens on the football pitch. You create always these controversies. Your question is just to create one more. I'm sorry I do not want to respond."
 
escaner_2.jpg

Cesc Fabregas alivyokuwa Barcelona academy

Cesc Fabregas is the captain and undisputed star of Wenger’s young Arsenal side. But in the 2001-02 season, he was part of the Barca youth team that won everything going at the orders of Guardiola’s current number 2, Tito Vilanova.
 
Hi Gooonerssss! mwenzenu nipo jamvini. My analysis of the game against Birmingham ni kwamba pengo lilikuwa ni Vermaelen since Song had to play as a center back; so namba sita wa kuchukua mipira (tackles) na kutoa pasi za maana hakuwepo (Denilson msimu huu is as good as not being there); that is where we had our weakness and we could not play our usual game.
 
gun__1269867100_kits_arsenal_barcelona.jpg

Arsenal v Barcelona: First-leg kits confirmed


Barcelona will wear their change kit of yellow shirts and blue shorts at Emirates Stadium on Wednesday.


Arsenal will wear their usual home kit of red shirts with white shorts for the Champions League Quarter-Final first leg.


However, Arsène Wenger's side will revert to a change kit of white shirts and grey shorts for the second leg in Barcelona next week.


Huu uzi naukubali

 
gun__1269867100_kits_arsenal_barcelona.jpg

Arsenal v Barcelona: First-leg kits confirmed


Barcelona will wear their change kit of yellow shirts and blue shorts at Emirates Stadium on Wednesday.


Arsenal will wear their usual home kit of red shirts with white shorts for the Champions League Quarter-Final first leg.


However, Arsène Wenger's side will revert to a change kit of white shirts and grey shorts for the second leg in Barcelona next week.


Huu uzi naukubali
tuendelee kuomba dua diaby na fabregas wawe fit jumatano wakuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom