Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

8a0816b9b4b0e45c02e08ae1364f461a.jpg

All the best vijana wangu.
Tukishinda game ya leo nitatoa ya moyoni.....
Pole best yangu...... poleni sana bandugu.
 
Uko wrong, mwezi wa matatizo kwa kawaida kwa Arsenal ulikuwa ni mwezi wa November na tulivuka hapo.

Pia kumbuka Arsenal leo imepoteza hii game miezi tisa ikiwa imepita.

Hivyo si jambo la ajabu sana kwa leo kupoteza hii game.

Uje tena jumapili tushangilie Arsenal ikiwafunga Man City nyumbani kwao Etihad.
Hahaha yamewashinda maini mutauweza mfupa?
 
Hii Habari ya arsenal kufungwa ipuuzieni ni Habari chonganishi na hakuna ushahidi wowote maana wengi wetu hatujashuhudia hivyo basi all gunner's timu yenu iko imara kuchukua kikombe cha kunywea chai lakini


walitucheka sisi tulivyotoa droo.
 
jukwaa lipo kimya, tunatamba chelsea tu , leo tunawaacha gap point 6 na weekend mnachapwa na city hivyo gap itakuwa point 9. mkome kusogelea wakubwa
 
Sisi ni wabovu sana kulinda goli kwenye mipira ya kona, hatujui kabisa kujipanga na hili ni tatizo kwa misimu mingi tu.
Mkuu, hili ni goli la kwanza Arsenal anafungwa kupitia kona msimu huu.
 
Natamani mechi ya Man City mtoke Draw. Ila nna uhakika 100% hii mechi mtafungwa goli nyingi.

Arsenal halisi inaanza kuonekana hadi January mtakuwa mnashindana na Totenham kwenye nafasi ya 5.
 
Mafanikio ya mpira siku zote lazima uambatane na pesa huoni mfano wa Man United mzee faggie alitumia m-pesa kwa marefaree kuchukua ubingwa mfurulizo, ukiwa bahili huwezi chukua ubingwa labda uwashtukie kama alivyofanya Lester city!
 
upload_2016-12-14_19-51-0.png


OG signs new contract .... ... ...

upload_2016-12-14_19-51-52.png


Coquelin also signs new deal .... ... . Ding ... Dong
 
Back
Top Bottom