Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walete walete hao bayanii tutambanaa tuu maana hamna namna ukubali ukataee lazima tupambane maana ndo tumeletewaa tuogope nini mchezo wa kikubwa ndio huu na sisi ni wakubwa ndo maana tupo
 
8a0816b9b4b0e45c02e08ae1364f461a.jpg

All the best vijana wangu.
Tukishinda game ya leo nitatoa ya moyoni.....
 
Wakuu wa Gunners baadaye kidogo ingawa nafuatilia huu mtanange ... . ... .Ding ... Dong.
 
Everton wanapata kona ya pili lakini zote zinapotea na Arsenal bado wanavuta kasi.

Everton wameanza na Ross Barkley na Aaron Lennon wakitarajia kuwa na kasi zaidi.

Arsenal bado wanawasoma.

Dakika inakwenda ya 10

Goli ni 0-0
 
Everton wanacheza sana deep yaani wanamuacha Lukaku mbele pake yake kutaka kucheza counter attack.

Arsenal wanatumia nafasi hiyo kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa, bila kwenda eneo la Everton.

Goli ni 0-0

Dakika inakwenda ya 18
 
Back
Top Bottom