Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Si mbaya sana ni mechi ya pili kushindwa.

Wapenzi wa Arsenal tunaelewa, ingawa tutakuwa disappointed na safu ya ulinzi imepwaya sana.
Poleni sana jamani, kufungwa si jambo la kupokea kirahisi.
 
Wale jamaa wa ku underestimate baadhi ya timu na kudhani kila mechi ni rahisi nadhani wamejifunza jambo moja hapa.. Tough to take this defeat.
 
Wale jamaa wa ku underestimate baadhi ya timu na kudhani kila mechi ni rahisi nadhani wamejifunza jambo moja hapa.. Tough to take this defeat.
Everton si timu ndogo mkuu
Kama huamini muulize Gurdiola atakwambia ipi ni timu ndogo pale Uingereza.
Hana hamu
 
Wale jamaa wa ku underestimate baadhi ya timu na kudhani kila mechi ni rahisi nadhani wamejifunza jambo moja hapa.. Tough to take this defeat.

Tulimtegemea sana Alexis Sanchez na safu ya ulinzi imepwaya bila Mustafi.

Theo Walcott na Alex Oxdale Chamberlain hawakuwa na ari kabisa ya mchezo na Walcott alikuwa akipoteza mipira mingi sana.

Ozil nae kama kawaida kwenye baadhi ya echi huwa akibanwa sana anaingia kabisa kapuni na kujifuniuka na blanketi.

Tunawasubiri Man City jumapili ijayo tumalizie hasira zetu..
 
Yes ikiwa Chelsea ikishinda kesho itakuwa 6 points ahead na jumapili watakuwa 9 points hivyo mechi ya jumapili ni ya muhimu Zaidi kuliko hii.
Kila mechi ina point 3.. Ukiifunga Man city au Hull City
 
Back
Top Bottom