Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal leo hawakujiandaa na physical game ya Everton na Ozil nafikiri uliona jinsi alivyokuwa akifanyiwa na James McCarthy na hata wakawa "squared up" kabla ya mapumziko.

Pili, Arsenal huwa wanatatizwa sana na long ball tactics za timu kama Everton ambao siwalaumu kwa mbinu hiyo ila ni ya kizamani.

Kama Everton wangetandaza kabumbu kwenye kapeti basi habari ingekuwa ni nyingine.

Tusubiri mpira wa uhakika jumapili na Man City.
Yes
Realy Ozil ndio kinacho mcost mara nyingi asiwe kwenye vikosi vya dunia, he is good lakin when it gets physical ana jificha.

Leo nimegundua Sanchez ni bonge ya soldier anaweza kucheza popote. Imean mechi ya namna yoyte.

Walcott alikuwa ni kama hayupo so Baines akawa ana panda sana juu, Walcott amekuwa mcehzaji hewa leo.

Mnge hold hata droo, lakin kuna shda kwenye timu yenu may be ya kisaikolojia, then hamja fungwa mda mrefu it was okey kupoteza leo.

Mwisho kabisa jumapili na City hamshindi.
 
Yes
Realy Ozil ndio kinacho mcost mara nyingi asiwe kwenye vikosi vya dunia, he is good lakin when it gets physical ana jificha.

Leo nimegundua Sanchez ni bonge ya soldier anaweza kucheza popote. Imean mechi ya namna yoyte.

Walcott alikuwa ni kama hayupo so Baines akawa ana panda sana juu, Walcott amekuwa mcehzaji hewa leo.

Mnge hold hata droo, lakin kuna shda kwenye timu yenu may be ya kisaikolojia, then hamja fungwa mda mrefu it was okey kupoteza leo.

Mwisho kabisa jumapili na City hamshindi.

Possibilty kubwa ya draw ila city hatufungi, sioni back to back defeats especially kwa City

city anakupa uhuru wa kucheza, no bullying no long balls, wanaweka mpira chini we will see
 
Yes
Realy Ozil ndio kinacho mcost mara nyingi asiwe kwenye vikosi vya dunia, he is good lakin when it gets physical ana jificha.

Leo nimegundua Sanchez ni bonge ya soldier anaweza kucheza popote. Imean mechi ya namna yoyte.

Walcott alikuwa ni kama hayupo so Baines akawa ana panda sana juu, Walcott amekuwa mcehzaji hewa leo.

Mnge hold hata droo, lakin kuna shda kwenye timu yenu may be ya kisaikolojia, then hamja fungwa mda mrefu it was okey kupoteza leo.

Mwisho kabisa jumapili na City hamshindi.

Mkuu, umeongea vizuri ila umeharibu hapo mwisho.

Kuna kitu inaitwa hibernation na Arsenal wameamua kutumia njia hiyo wanapoona wapo 3 points ahead na Liverpool 4 points dhidi ya Man City na 7 points kwa Spurs.

Ila walipaswa kutoa draw.

Tusubiri jumapili naona wameruhusiwa kubakia north na wataenda Machester Alhamisi.
 
Poleni washika bunduki, beki yenu inayumba hasa kwenye kujipanga , hivi inakuwaje wakati kona inapigwa wanashindwa kuweka beki hata mmoja kwenye nguzo?,
Everyon wamenusurika mwishomwisho na aliyewaokoa ni beki aliyekuwa kwenye nguzo

Ukabaji nao sio mzuri, kwani magoli yote ni free header, wakiendelea hivi watajajikuta wanarudi kwenye nafasi yao ya nne waliyoizoea

Kesho gap na Chelsea linakuwa point 6, maana Chelsea yenye wachezaji 15 kiwanjani wataichapa Sunderland sio chini ya bao tano
 
Poleni washika bunduki, beki yenu inayumba hasa kwenye kujipanga , hivi inakuwaje wakati kona inapigwa wanashindwa kuweka beki hata mmoja kwenye nguzo?,
Everyon wamenusurika mwishomwisho na aliyewaokoa ni beki aliyekuwa kwenye nguzo

Ukabaji nao sio mzuri, kwani magoli yote ni free header, wakiendelea hivi watajajikuta wanarudi kwenye nafasi yao ya nne waliyoizoea

Kesho gap na Chelsea linakuwa point 6, maana Chelsea yenye wachezaji 15 kiwanjani wataichapa Sunderland sio chini ya bao tano
Mpira hauko hivyo

Lately chelsea matokeo yake yameanza kuwa 1-0 , 1-0 kushinda 5-0 sio rahisi

Sunderland pia ni bogey team kwa chelsea na city

Kesho watakomaa hutaamini wanaweza kufungwa sio scoreline hiyo maximum ni goli 2
 
Possibilty kubwa ya draw ila city hatufungi, sioni back to back defeats especially kwa City

city anakupa uhuru wa kucheza, no bullying no long balls, wanaweka mpira chini we will see
Yeah may be
Sijajua rekodi yenu na city ikoje, ila inatakiwa muombe sana hilo gap la point 6 na chelsea lisiingie mwaka mpya, sasa sijui litazuiweje, a draw with city wont be bad, but a win mtakuwa mmejisamehe dhambi zote za leo
 
Mkuu, umeongea vizuri ila umeharibu hapo mwisho.

Kuna kitu inaitwa hibernation na Arsenal wameamua kutumia njia hiyo wanapoona wapo 3 points ahead na Liverpool 4 points dhidi ya Man City na 7 points kwa Spurs.

Ila walipaswa kutoa draw.

Tusubiri jumapili naona wameruhusiwa kubakia north na wataenda Machester Alhamisi.

Hahaha
Sidhani kama city washawahi kufungwa back to back Etihad hivi karibuni
So nahisi hiyo mechi mtauwana na gap la point likiwa kubwa na chelsea halafu dogo na liverpool na city hasara inakuwa kwenu na faid kwa liver na city.

Hebu ngoja tusubiri
 
Yeah may be
Sijajua rekodi yenu na city ikoje, ila inatakiwa muombe sana hilo gap la point 6 na chelsea lisiingie mwaka mpya, sasa sijui litazuiweje, a draw with city wont be bad, but a win mtakuwa mmejisamehe dhambi zote za leo
Kanuni ya AW hafungwi back to back games

Maana anasema ukiloose lazima upate matokeo next game iwe sare au ushindi at any cost

Ukifungwa back to back game mbili inaanza kuwa shida ukipigwa ya 3 ni CRISIS

So akiona mambo magumu atatafta sare

By the way city wanacheza mpira na uki wa outsmart unawaua....

Hizi everton, spurs,stoke,soton wakiwa home kwao ni sawa na RUGBY TEAMS
 
Mpira hauko hivyo

Lately chelsea matokeo yake yameanza kuwa 1-0 , 1-0 kushinda 5-0 sio rahisi

Sunderland pia ni bogey team kwa chelsea na city

Kesho watakomaa hutaamini wanaweza kufungwa sio scoreline hiyo maximum ni goli 2
Kesho chelsea akishinda kwa kweli mlima wa kupandisha utakuwa mkubwa sana kwenu, muombeeni hata apate droo
 
Kesho chelsea akishinda kwa kweli mrima wa kupandisha utakuwa mkubwa sana kwenu, muombeeni hata apate droo
Kuna games kibao mpaka jan so kila timu itafungwa droo at point of time

Sema HONESTLY chelsea wako vizuri sana
 
Kuna games kibao mpaka jan so kila timu itafungwa droo at point of time

Sema HONESTLY chelsea wako vizuri sana
Eeh, nawa angalia chelsea walivyo naona wakiwapita point 7 itabidi msubiri mechi.mbili tatu hapo ili wapoteze, na hiyo ni kazi kimpira hata mwaka jana Leceister waliwapotelea kwenye point 5 hivi, ogopa sana timu kama hizi
 
Opportunity to keep pace with Chelsea lost.
 
Sisi ni wabovu sana kulinda goli kwenye mipira ya kona, hatujui kabisa kujipanga na hili ni tatizo kwa misimu mingi tu.

Poleni washika bunduki, beki yenu inayumba hasa kwenye kujipanga , hivi inakuwaje wakati kona inapigwa wanashindwa kuweka beki hata mmoja kwenye nguzo?,
Everyon wamenusurika mwishomwisho na aliyewaokoa ni beki aliyekuwa kwenye nguzo

Ukabaji nao sio mzuri, kwani magoli yote ni free header, wakiendelea hivi watajajikuta wanarudi kwenye nafasi yao ya nne waliyoizoea

Kesho gap na Chelsea linakuwa point 6, maana Chelsea yenye wachezaji 15 kiwanjani wataichapa Sunderland sio chini ya bao tano
 
Sisi ni wabovu sana kulinda goli kwenye mipira ya kona, hatujui kabisa kujipanga na hili ni tatizo kwa misimu mingi tu.
Gabriel ana tatizo la kutokuruka kwenye mipira ya kona au krosi
 
Tulistahili kushinda hii mechi, mechi inayofuata ni ugenini na MANC na hawa wana hasira ya kupigwa 4-1 na Leicester tusipokuwa makini wanaweza kutupa kichapo cha mbwa mwizi. Ahueni yetu Aguero hatacheza.

Gabriel ana tatizo la kutokuruka kwenye mipira ya kona au krosi
 
Back
Top Bottom