UmefufukaTufanye droo
Draw itawafikisha kileleni au sioNext game
Man City Vs Arsenal droo itakuwa matokeo mazuri kwetu
We si ndio ulisema hupitiagi majukwaa mengine, ukawa unadis watu wakija kule kwa maloserfool, umekumbwa na nini leo?
Poleni sana ila umeandika kiuwana michezo kabisa hapa ndivyo mnatakiwa kuliangalia hilo.Kama ambavyo huwa tunafurahia ushindi kwa pamoja,hata sasa tupo pamoja my fellow Gooners.
Kupoteza ni sehemu ya mchezo,kesho tutashinda...tutafurahia tena.
No matter what,I'll die a Gooner.
COYG![]()
![]()
Sisi ni wabovu sana kulinda goli kwenye mipira ya kona, hatujui kabisa kujipanga na hili ni tatizo kwa misimu mingi tu.
Full time Eva 2 vs 1 ArsenalUko wrong, mwezi wa matatizo kwa kawaida kwa Arsenal ulikuwa ni mwezi wa November na tulivuka hapo.
Pia kumbuka Arsenal leo imepoteza hii game miezi tisa ikiwa imepita.
Hivyo si jambo la ajabu sana kwa leo kupoteza hii game.
Uje tena jumapili tushangilie Arsenal ikiwafunga Man City nyumbani kwao Etihad.
Lini nilikufa,naona mshaanza mambo yenuUmefufuka
Tunakuja kimyakimyaDraw itawafikisha kileleni au sio
Wamepunguza presha kwa Chelsea yetu sasa........Tunakuja kimyakimya








ni kipigo tu....