Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

View attachment 446300

OG signs new contract .... ... ...

View attachment 446301

Coquelin also signs new deal .... ... . Ding ... Dong
Kwiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kumbe ndio mnakuwaga wapole hivi kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii mpira unafundishwa colney ila magoli utayakuta everton
IMG_20161214_031318.jpg

IMG_20161214_030910.jpg

IMG_20161214_030837.jpg

IMG_20161214_030720.jpg

IMG_20161214_030559.jpg

IMG_20161214_030506.jpg

IMG_20161214_030349.jpg

IMG_20161214_030336.jpg
 
Kwa mashabiki wote wa soka tumekutana hapa JF tukibadilishana habari mbalimbali tunapongezana na kutaniana kuhusu timu tunazoshabikia ,now mmoja ya waasisi wa kijiwe chetu ambacho tunakutana hapa anashikiliwa na polisi.Tujitokeze kupaza sauti zetu kulaani huu unyanyasaji anaofanyiwa tusikae kimya kwenye hili tuendelee kupaza sauti kwenye mitandao yote ya kijamii(Facebook,Twitter,Instagram nk ) kulaani unyanyasaji huu.Tutumie hashtag [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Kwa mashabiki wote wa soka tumekutana hapa JF tukibadilishana habari mbalimbali tunapongezana na kutaniana kuhusu timu tunazoshabikia ,now mmoja ya waasisi wa kijiwe chetu ambacho tunakutana hapa anashikiliwa na polisi.Tujitokeze kupaza sauti zetu kulaani huu unyanyasaji anaofanyiwa tusikae kimya kwenye hili tuendelee kupaza sauti kwenye mitandao yote ya kijamii(Facebook,Twitter,Instagram nk ) kulaani unyanyasaji huu.Tutumie hashtag [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

Tupo pamoja kamanda.
 
Kwa miaka takriban 10 arsenal wamekuwa kama masikini anae kaa jirani na tajiri anaishia kushiba harufu ya biriani leo wamemaliza wa nne msimu ulopita 3 basi taabu tupu.
 
upload_2016-12-15_19-6-13.png
upload_2016-12-15_19-6-25.png


Ozil Ox

upload_2016-12-15_19-7-39.png


Iwobi ... ...

upload_2016-12-15_19-8-4.png
upload_2016-12-15_19-8-19.png


Granit OG

upload_2016-12-15_19-9-6.png


Gab .... ... .. Ospina

upload_2016-12-15_19-9-43.png
upload_2016-12-15_19-9-58.png


Kos Cech

upload_2016-12-15_19-10-36.png
upload_2016-12-15_19-10-45.png


Per Elneny

Baada ya cluttermburg kuwapa Everton goli la sadakarawe Prof ameamua
vijana Wa-chill out .... ...[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Wakuu wa Gunners mambo hadi hivi sasa yanaendelea katika hatua nzuri sana ya kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kupambana katika mashindano yote. Msione Vi-mburukenge vinajazana humu vinafahamu muziki wetu .... ... Ding ... Dong. Vingine hata Ali Hamisi vinaona kwenye ooops vinaisikia kwenye luninga tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakuu wa Gunners mambo hadi hivi sasa yanaendelea katika hatua nzuri sana ya kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kupambana katika mashindano yote. Msione Vi-mburukenge vinajazana humu vinafahamu muziki wetu .... ... Ding ... Dong. Vingine hata Ali Hamisi vinaona kwenye ooops vinaisikia kwenye luninga tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauli
 
Mara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauli
Kuchumbia sana sio kuoa inawahusu sana majirani zetu hawa
 
Mara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauli
Wivu unakusumbua hulali wala kula kisa Gunners wanacheza mpira kuizidi timu yako ya vichochoroni khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Hao jamaa na hilo bata sijui kama tutachomoza kwa Mancity jpili.
 
upload_2016-12-17_20-49-4.png


Pamoja na ukungu uliokuwa umetanda Colney leo
wachezaji walikuwepo kujiandaa na mtanange
na Man City


upload_2016-12-17_20-50-35.png


upload_2016-12-17_20-50-48.png


upload_2016-12-17_20-51-11.png


upload_2016-12-17_20-51-27.png


upload_2016-12-17_20-51-43.png


upload_2016-12-17_20-52-2.png


upload_2016-12-17_20-52-49.png


upload_2016-12-17_20-52-16.png


[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Mbona pamepoa sana humu. Wacha 1 upo wapi. Mim jana tayri nimeokota point 3. Vip utachomoa kwa sity leo au mtagawana 1 moja
 
Mbona pamepoa sana humu. Wacha 1 upo wapi. Mim jana tayri nimeokota point 3. Vip utachomoa kwa sity leo au mtagawana 1 moja
Wacha kujipendekeza pendeza timu yako mbovu subiri majuto mjukuu khe ke kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mechi yetu saa kumi njoouone magoli tutakayomzibua nayo Pepsi ... .... . he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
upload_2016-12-18_10-6-2.png


Its the season, an away win will do us good [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom