Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bila shaka mkuu, ikiwezekana sisi wakongwe tuwepo hapa kuburudisha na kuweka mambo sawa.

Mimi nipo tayari kabisa kurusha updates moja kwa moja kutoka Emirates kuanzia saa 8 kamili mchana kwa saa za Afrika mashariki.

Mimi nipo mbali kidogo saa 10 nafikiri ndio itakuwa definitely. Traffic inakuwa kubwa kidogo on my route.
 
Mechi siku hizi zinaamuliwa mapema ukitangulia kufungwa mapema ni ngumu kurudi mchezoni ndio maana Arsenal alimfunga Chelsea kipindi cha kwanza,Kuwafunga Chelsea cheza mpira wa kasi,washambulie na usikose magoli,Chelsea ya sasa wakiwa na mpira wamekuwa wanatumia nafasi vizuri na wanashambulia toka pande zote (Alonso,Moses,Matic,Pedro,Hazard) wameadapt system ya kocha mapema

Sio kweli, Man City wamefunga mapema leo wametoa draw, West Ham mwaka jana walisumbua sana timu kubwa leo wamefunga mapema wametoa draw.

EPL ni mbinu za makocha kubadili mchezo nk. Kila timu inataka ushindi kwa sababu hata timu ambazo zilikuwa zinaitwa ndogo hivi sasa kutokana na TV money wanacheza kwa kujituma. Everton goli la kwanza kama uliangalia mchezo wao ni makosa yao wenyewe kupoteza mpira kwenye eneo la Chelsick pamoja na makosa mengine. They were very weak actually (I watched first 30min).
 
Latest Team news

Arsenal wana wachezaji kadhaa ambao ni majeruhi kama Danny Welbeck, Per Mertesacker, Lucas Perez na Chuba Akpom.

Hector Bellerin a,bae alokosa mechi ya jumanne na Ludogorets yupo fit na Granit Xhaka ambe alikuwa kitumikia adhabu ya kadi nyekundu atakuwemo kwenye timu.

Tottenham wao pia wana wachezaji ambao ni majeruhi Toby Alderweireld na Erik Lamela na Mousa Dembele .

Moussa Sissoko anatumikia adhabu ya kadi nyekundu aliyopewa wiki ilopita Spurs walipocheza na Bournemouth.

Hivyo basi, timu zinatarajiwa kuwa kama ifuatavyo:

Arsenal: Cech, Bellerin, Mustafi, Koscielny, Monreal; Coquelin, Xhaka; Ramsey, Ozil, Sanchez; Giroud

Akiba : Iwobi, Gibbs, Walcott, Elneny na Gaby.

Tottenham: Lloris; Walker, Dier, Vertonghen, Rose; Wanyama, Winks; Eriksen, Alli, Son; Janssen
 
Latest Team news

Arsenal wana wachezaji kadhaa ambao ni majeruhi kama Danny Welbeck, Per Mertesacker, Lucas Perez na Chuba Akpom.

Hector Bellerin a,bae alokosa mechi ya jumanne na Ludogorets yupo fit na Granit Xhaka ambe alikuwa kitumikia adhabu ya kadi nyekundu atakuwemo kwenye timu.

Tottenham wao pia wana wachezaji ambao ni majeruhi Toby Alderweireld na Erik Lamela na Mousa Dembele .

Moussa Sissoko anatumikia adhabu ya kadi nyekundu aliyopewa wiki ilopita Spurs walipocheza na Bournemouth.

Hivyo basi, timu zinatarajiwa kuwa kama ifuatavyo:

Arsenal: Cech, Bellerin, Mustafi, Koscielny, Monreal; Coquelin, Xhaka; Ramsey, Ozil, Sanchez; Giroud

Akiba : Iwobi, Gibbs, Walcott, Elneny na Gaby.

Tottenham: Lloris; Walker, Dier, Vertonghen, Rose; Wanyama, Winks; Eriksen, Alli, Son; Janssen
Toa Ramsey weka Walcott
 
Sio kweli, Man City wamefunga mapema leo wametoa draw, West Ham mwaka jana walisumbua sana timu kubwa leo wamefunga mapema wametoa draw.

EPL ni mbinu za makocha kubadili mchezo nk. Kila timu inataka ushindi kwa sababu hata timu ambazo zilikuwa zinaitwa ndogo hivi sasa kutokana na TV money wanacheza kwa kujituma. Everton goli la kwanza kama uliangalia mchezo wao ni makosa yao wenyewe kupoteza mpira kwenye eneo la Chelsick pamoja na makosa mengine. They were very weak actually (I watched first 30min).


Man City/West Ham hawakumaliza mechi waliongoza wakarelax wenzao wakawasoma baadae wakaja wakarudisha,kumaliza mechi maana yake hadi half time unaongoza si chini ya goli mbili

Arsenal vs Chelsea
Chelsea VS Man United
Man United vs Leicester
Liverpool vs Chelsea
Man City vs Man United
Spurs vs Man City

Hizi ndio mfano wa game zilizomalizwa first half
 
Kwani sis arsenal tuna mpira gani. Kaka tusiwe watu wa kusahau kumbuka msimu 2013/2014 tuliongoza ligi adi january but unakumbuka nin kilitokea. Mim chelsea huwa siwabezi hata kidogo. Chamsingi tuongeee ya kwetu tupate point 3 basi tusonge mbele
Chungu lakini dawa, mashabiki wa arsenal wanajitia upofu wa kumbukumbu
 
Kwani sis arsenal tuna mpira gani. Kaka tusiwe watu wa kusahau kumbuka msimu 2013/2014 tuliongoza ligi adi january but unakumbuka nin kilitokea. Mim chelsea huwa siwabezi hata kidogo. Chamsingi tuongeee ya kwetu tupate point 3 basi tusonge mbele
Acha zako ww,unaleta historia hapa kwendaaaaaaaaaaaaaa
Unauliza tuna mpira gani ?????hovyo kabisa wewe epl nzima kuna timu inatandaza soka safi kama arsenal??!!??kama hujui uwe unakaa kimya kuropokaropoka unajiaibisha dada yangu
 
Acha zako ww,unaleta historia hapa kwendaaaaaaaaaaaaaa
Unauliza tuna mpira gani ?????hovyo kabisa wewe epl nzima kuna timu inatandaza soka safi kama arsenal??!!??kama hujui uwe unakaa kimya kuropokaropoka unajiaibisha dada yangu
Msigombane nendeni taratibu
 
Shida ya hawa jamaa wanapenda mpira wa kukamia sana tukikutana nao.. Dawa yake ni kuwapiga mapema sana na kuwapeleka puta tu mda wote...
 
hii game ya ox, walcot or sanchez, yaan speed na counter za ajabu ndio ztakazo tupa ushind.. assist ziki simamiwa na fundi maestro the man by himself
 
hii game ya ox, walcot or sanchez, yaan speed na counter za ajabu ndio ztakazo tupa ushind.. assist ziki simamiwa na fundi maestro the man by himself
Kweli kabisa mkuu.. Hawa tukiwachezea mpira wa taratibu wa kupanga mashambulizi kutokea nyuma taratibu itakuwa soo.. Dawa ni mpira wa kasi tu na counter za maana.. Watakaa tu.. Hawa ukiwapa nafasi ya kukupiga wewe counter ni shida sana..
 


Habari za mchana wana gunners mpoo?

Team news Confirmed:

Theo Walcott na Granit Xhaka wanaanza.

Arsenal: Cech, Bellerin, Mustafi, Koscielny, Monreal, Walcott, Coquelin, Ozil, Iwobi na Alexis Sanchez

CwkvSG6XgAQOuog.jpg:large


Timu ya Tottenham Hotspurs

Lloris (C), Walker, Vertonghen, Wimmer, Rose, Dier, Wanyama, Dembele, Eriksen, Son na mbele Harry Kane.
 
Acha zako ww,unaleta historia hapa kwendaaaaaaaaaaaaaa
Unauliza tuna mpira gani ?????hovyo kabisa wewe epl nzima kuna timu inatandaza soka safi kama arsenal??!!??kama hujui uwe unakaa kimya kuropokaropoka unajiaibisha dada yangu
ok pamoja na hayo lakini leo kwa Spurs hamchomoki
 
Hiyo inamaanisha kwamba Granit Xhaka atakuwa katikati na tafwadhali Granit angalia game yako please, epuka kadi nyekundu.

Theo Walcott atakuwa upande wa kulia akishambulia na hivyo Spurs leo wanakaangwa, mpira utakuwa ukizungushwa katikati.

Kama Spurs watataka kushinda hii game itabidi wacheze high press yaani kuwabana Arsenal ndani ya eneo lao, kitu ambacho kinahitaji uangalivu na umakini mkubwa.
 
Chelsea-v-Tottenham.jpg


Mwamuzi wa mchezo huu wa leo ni mwamuzi wa kimataifa na mtaalam aitwae Mark Clatternburg ambae ni mzaliwa wa Durham lakini anaishi kamji kadogo kaitwacho Gosforth kalichopo Newcastle Upon Tyne.
 
Back
Top Bottom