rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Halafu timu kama Everton zikikutana na Arsenal zinacheza "die hard" kichizi.
Leo wapo ndembendembe, 3-0 mapumziko.
Wenger kesho anataka kumuacha Xhaka na aanze na Coquelin, Elneny na Ramsey.
Anasema lazima Xhaka atakuwa target na wachezaji wa Spurs.
Tatizo la Ramsey hawezi defensive duties na kuchambulia kwa pamoja.
Kosa walililofanya Everton ni kubadili formation kwa kuweka beki 3 nyuma kama Chelsea (3-4-3). Ukiangalia unaona kuna mapengo katika Full back positions ya Everton. Anyway, Chelsea watapatikana muda si mrefu, watu watasahau jinsi walivyoshinda mechi kadhaa hizi. Kesho tunatakiwa kugonga vichwa ila naona draw is written all over the North London derby. Kesho kitakachotupa shida nadhani itakuwa ku-contain speed na midfielder ya Spurs. Xhaka akicheza itakuwa vizuri kuliko Elneny kwa muono wangu, sidhani kama atafanya faulo za kijinga kama alivyofanya juzi kati. Ramsey ni mzuri kwenda mbele sema anakuwaga mroho na mchoyo katika maeneo mazuri.
