Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tottenham watamkosa Dele Ali ambae jana aliumia goti alipokuwa mazoezini.

Hiyo itakuwa ni moja ya advantage kwa Arsenal kwani Alli huwa anaunganisha vizuri pasi kati ya wachezaji wa kati wa Spurs.

Pia inaonekana Pochettino ameamua kutumia mtindo wa 3-4-3 ambao kwa sasa unatumiwa na Chelsea..

Hivyo anataka mabeki Vertonghen, Dier na Wimmer wawe nyuma.

Hivyo Walker na Rose watakuwa wakipanda na kushuka, huku Dembele akiwa kwenye nafasi ya namba 10.

Dier na Wanyama watakuwa wapo katikati kuvizia mipira na wakipata wanamtupia Dembele ambae ni mzuri kwa mbio na ambae anaweza kufunga au kumpatia Harry Kane kumalizia.
 
Meneja Arsene Wenger akiongea kabla ya kuingia uwanjani:-

"Well it means mathematically we have done less well than in the other months but we have a good opportunity to show we have moved forward and can perform no matter what month.

Apart from Cazorla unfortunately, all the other test were positive.

(I've spoken to Xhaka about discipline) I believe as well at that level players have to learn from experiences and I'm sure he will"
 
113031347_arsenal_stadium-large_trans++Mi7XmXlS_Y-KnHwwPRarOAybgoPlNJ-e_2EtFg_T1P8.jpg


Full House leo ni leo.
 
Timu zote mbili zipo uwanjani wachezaji wakipasiana mipira ya hapa na pale.

113033259_spurs_players-large_trans++GSmXFtvA_n5-EAmkNpoRUz1TkVwL80W9sEbysBA78Yw.jpg

Tottenham

Tujikumbushe Arsenal ya Invincibles

arsenal-invincibles-large_trans++qVzuuqpFlyLIwiB6NTmJwfSVWeZ_vEN7c6bHu2jJnT8.jpg


Bergkamp na Henry wa leo ni Ozil & Sanchez

Freddie Ljungberg ni Theo Walcott wa leo.
 
Mtanange ndio karibu unaanza.

Kama kawaida Arsenal wana jezi zao nyekundu juu na chini nyeupe.
 
Dakika inakwenda ya 5 goli ni 0-0

Spurs kama nilivyosema wanawatumia Danny Rose na Kyle Walker kushambulia mbele.

Christian Eriksen anacheza katikati, huku Son Heung-min akiwa nyuma ya Harry Kane.
 
Dakika inakwenda ya 13

Arsenal wanacheza mpira wao wa kawaida na Theo Walcott anakuwa kama mshambuliaji na Hector Bellerin anashindwa kupanda sana kama kawaida yake kwasababu Danny Rose nae anapanda sana kwa upande wa Spurs.
 
Dakika ya 15 Arsenal na Spurs karibu wanagawana umiliki wa mpira.

Ila Spurs wanacheza sana nyuma kujihami.
 
Arsenal pasi zao si sahihi na wanaotea sana.

Dakika inakwenda ya 26 goli ni 0-0
 
Acha zako ww,unaleta historia hapa kwendaaaaaaaaaaaaaa
Unauliza tuna mpira gani ?????hovyo kabisa wewe epl nzima kuna timu inatandaza soka safi kama arsenal??!!??kama hujui uwe unakaa kimya kuropokaropoka unajiaibisha dada yangu
Nimekuelewa na matusi yako. Arsenal sisi tunajua matusi na kelele kuliko mpira. Leo tunacheza na Tot. Sijui kama tutatoka. Na tunachezewa kwelikweli. Arsenal 4 rever
 
Walcoooottt no mpira unagonga mwamba na unatoka!

Goli ni 0-0

Dakika ya 40
 
Back
Top Bottom