Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Teh teh....just wait and see...Campbell mbona yuko njema tu aisee,utaona tu jinsi atakavomficha Messi siku hiyo🙂🙂(maana ulivoongea utadhani tayari tumepangwa na Barca)
Aah Ngosha wasema hayo kutoka kwa moyo kweli??. Nayahisi mapigo yako ya moyo yanavoenda kasi ukitajiwa jina Messi au Eto'o hta nikiwa huku ..