Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hongera kwa kuwa na imani ya kuhamisha milima..
Ninachokupendea u mzuri sana wa ktuoa challenges kwa Gunners(hata kwa Porto uliongea hivihivi)....Naona unamuogopa sana Messi wewe....Mpira wa Barcas na wa Arsenal unalingana,wote twatumia akili,hatutumii miguvu kama Chelsiki na Manure...Halafu usimuunderestimate sana Sol aisee...Hata hivyo tuna matumaini kwamba William anaweza akapona kabla ya game ya kwanza ama akawepo game ya pili
NB. Ni vizuri ukawa unakuja hapa baada ya mechi na kuzsemea kauli zako hizi(maana zile za baada ya mechi ya Porto hukuzizungumzia kabisa mpaka tulipokukumbusha)...Pia uwe unatupongeza mkuu,badala aya kila siku kuwa unatupinga tuuuuuuu hata tukifanya vizuri