BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hongera na wewe, naona mmebakiza mechi za vilema tupu mshindwe wenyewe.
Acha hizo Mkuu...Hakuna Vilema EPL ndiyo maana league hiyo imekuwa na umaarufu mkubwa duniani. Angalia wale Burnley wako hatarini kushuka daraja lakini waliwatoa nishia MANU. Angalia leo hawa HULL nao wako mkiani lakini ukizembea tu basi wanaweza kabisa kukugeuzia kibao. Hivyo kwenye karatasi mechi zetu nyingi zinaweza kuonekana ni rahisi, lakini ukweli si hivyo timu nyingi zinaingia uwanjani kwa kujiamini kama watajituma basi wanaweza kabisa kuithibiti Arsenal na hata kushinda. Nasubiri kesho niangalie karamu ya magoli ya Rooney au SAF anaweza kuamua kumpumzisha maana March 21st wanakipiga na L'pool.