Matatzo kote koteAcha tu

Haahaha mkuu ngoja kidogo! !!!Sasa wale Manure watatukoma, msimu huu.
Sasa wale Manure watatukoma, msimu huu.
3 more years for WengerSasa wale Manure watatukoma, msimu huu.
acha utani!! kwa kumsajili Takuna na uteleziSasa wale Manure watatukoma, msimu huu.

Mkuu mi nina uhakika tutafanya vyema Msimu huu.Haahaha mkuu ngoja kidogo! !!!
Richard, unapata wapi habari za ndani za club ya arsenal??
Mkuu Richard uko wapi? kimya sana mkuu!
Jana ulisema Mustaf chaguo la tatu sasa imekuaje?Nipo mkuu lakini majukumu yamekuwa mengi.
Nilikuwa nafuatilia usajili kwa karibu Zaidi.
Huyu mzee kashatuchosha bora asepe tu. Furaha yetu sisi ni ushindi na hatuwezi shinda kwa kuwa na kikosi kibovuPoa tu mkuu mimi nipo natathmini msimu wa timu yetu safari hii.
Ya, msimu wa 2015/2016 kwenye La Liga Perez alifunga magoli 17.
Huyu ndie mshambuliaji pekee wa Depor lakini wamemwachia tu kwa sababu ya kifedha.
Ila kwa kuwa Everton na timu zingine zilikuwa zikifukuzia, maskauti wa Arsenal nao walikuwa wakiwinda kwa mbali.
Ndio leo wakaamua ku-move for a kill walipoona Everton wanasita kwenda zaidi ya 17M, hivyo kwa kiasi Fulani hii ni bargain kuzingatia umri wake.
Kwa kuwa Giroud yupo, Walcott na baadae Welbeck akipona, angalau Wenger atakuwa na options na pia Perez ataleta copetition baina yao.
Hivyo is fair to say ni good move ingawa sio ya zaidi ya 30M au 40M
Wenger anatufundisha economics yaani unakaa mpaka mwisho wa mnada, lol
Richar
Jana ulisema Mustaf chaguo la tatu sasa imekuaje?