Poa tu mkuu mimi nipo natathmini msimu wa timu yetu safari hii.
Ya, msimu wa 2015/2016 kwenye La Liga Perez alifunga magoli 17.
Huyu ndie mshambuliaji pekee wa Depor lakini wamemwachia tu kwa sababu ya kifedha.
Ila kwa kuwa Everton na timu zingine zilikuwa zikifukuzia, maskauti wa Arsenal nao walikuwa wakiwinda kwa mbali.
Ndio leo wakaamua ku-move for a kill walipoona Everton wanasita kwenda zaidi ya 17M, hivyo kwa kiasi Fulani hii ni bargain kuzingatia umri wake.
Kwa kuwa Giroud yupo, Walcott na baadae Welbeck akipona, angalau Wenger atakuwa na options na pia Perez ataleta copetition baina yao.
Hivyo is fair to say ni good move ingawa sio ya zaidi ya 30M au 40M
Wenger anatufundisha economics yaani unakaa mpaka mwisho wa mnada, lol