UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
HowWenger huu ni msimu wake wa mwisho Arsenal na meneja mpya tayari amepatikana.
Hata tena mvuto kwa wachezaji mahiri.
HowWenger huu ni msimu wake wa mwisho Arsenal na meneja mpya tayari amepatikana.
Hata tena mvuto kwa wachezaji mahiri.
Mkuu Richard kwa sasa na wewe atukuamini na infor za Arsenal.
Wawili ambao ni vijana kina naniAnaachia mkataba uishe wenyewe, halafu yeye anapanda kwenda kwenye bodi na ni yeye ndiye atakaependekeza jina la mrithi wake.
Majina yanayotajwa ni kati ya Klopp, Koeman, na wengine wawili ambao pia ni vijana.
Kwanini Mkuu?
Wawili ambao ni vijana kina nani
Pochetino na Frank De Boer ambae sasa yupo Inter.
Lakini kabla ya hao wote Wenger atataka msaidizi wake wa sasa Dragan Stojkovic ndie ashike usukani.
Huyu kwa sasa yupo Japan anafundisha timu ya Nagoya Grampus Eight ambayo ilicheza na Arsenal kwenye pre-season.
Nakumbuka aliwahi kusema yeye hawezi kupendekeza mrithi wake.Anaachia mkataba uishe wenyewe, halafu yeye anapanda kwenda kwenye bodi na ni yeye ndiye atakaependekeza jina la mrithi wake.
Majina yanayotajwa ni kati ya Klopp, Koeman, na wengine wawili ambao pia ni vijana.