UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Hahahaaaaaa
Hahahaaaaaa
Arsenal na wenger mpaka kifo kitakapowatenganisha.
Hahahaha huwa nawaonea huruma sana hawa ndugu zanguAkishinda games mbili tatu hio kauli inakuwa #WengerAnajua
Mr. Bean Isn't serious!!!According to Mundo Deportivo, Arsenal are in pole position to sign James Rodriguez after Arsene Wenger gave his approval to a move that could cost us £51m this summer.
The general consensus is that Wenger is looking to bring in a centre-back and striker before the transfer window closes next week but we’ve struggled to get deals agreed for our key targets.

Kuna habari njema kwa Arsenal kwamba katika siku mbili-tatu zijazo tunaweza kuona new signings. Striker na Defender. Habari nilizozipata kutoka kwenye klabu, maongezi ya kuwapata Perez na Mustafi yako pazuri. Let us wait and see.
Richard vp bro, za masiku tele....Hii Arsenal naona inaniumiza kichwa tu, huyu mchezaji sijui kama atatufaa ila kwa staili ya maelezo yako napata wasiwasi kwelikweli, data zake katika ligi na mechi alizocheza, idadi kubwa ya magoli yake kwa msimu, nk hujazielezea, wengine tunapata taabu kuanza kuangalia google au YOUTUBE zake, Wenger is good Coach but enough is enough.!!Usajili Updates: Arsenal wamsajili mshambuliaji Lucas Perez Martinez kutoka Deportivo La Coruna kwa pauni 20M
Alikuwa ana "release clause" ya pauni milioni 20 na Arsenal wamelipa fedha yote.
Arsenal mchana huu wameafikiana na Deportivo La Coruna na kukubaliana kumsajili mshambuliaji huyo.
![]()
Mjue Lucas Perez Martinez.
Ana umri wa miaka 27
Anachezea nafasi ya ushambuliaji.
Amezaliwa mji wa A Coruna na amechezea timu kadhaa za Spain na Russia za Rayo Vallecano, Dynamo Kiev na PAOK, kabla ya kuja Deportivo La Coruna mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 25.
Perez ameifungia magoli 24 timu yake ya Depor, katika mechi 58 za ligi alichocheza na alipokuwa Ugiriki katika mechi za Greek Football Cup mwaka 2014 alishinda kombe hilo na timu yake ya zamani ya PAOK.
Richard vp bro, za masiku tele....Hii Arsenal naona inaniumiza kichwa tu, huyu mchezaji sijui kama atatufaa ila kwa staili ya maelezo yako napata wasiwasi kwelikweli, data zake katika ligi na mechi alizocheza, idadi kubwa ya magoli yake kwa msimu, nk hujazielezea, wengine tunapata taabu kuanza kuangalia google au YOUTUBE zake, Wenger is good Coach but enough is enough.!!
Mustafi gani kaka wengine tuna stres usiongeze zaidiKuna habari njema kwa Arsenal kwamba katika siku mbili-tatu zijazo tunaweza kuona new signings. Striker na Defender. Habari nilizozipata kutoka kwenye klabu, maongezi ya kuwapata Perez na Mustafi yako pazuri. Let us wait and see.