Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,636
- 25,617
Huyu mzee kashatuchosha bora asepe tu. Furaha yetu sisi ni ushindi na hatuwezi shinda kwa kuwa na kikosi kibovu
Mkuu, ngoja uone first 11 ya jumamosi.
Huyu mzee kashatuchosha bora asepe tu. Furaha yetu sisi ni ushindi na hatuwezi shinda kwa kuwa na kikosi kibovu
afadhari sasa mtapunguza kulalamika lalamika
Mtoto mdogo mchawi...oya aka kajama tukachangie kanunue tunguliafadhari sasa mtapunguza kulalamika lalamika
Mtoto mdogo mchawi...oya aka kajama tukachangie kanunue tunguli
Lini utaacha uchawi mdogo angu
Wewe sheherekea harusi tu kwenye game hakuna jipyaHakuna kitu kinanikera kama kukosa kuangalia game ya Arsenal duh niko kwenye harusi basi utata mtupu.
PoleHakuna kitu kinanikera kama kukosa kuangalia game ya Arsenal duh niko kwenye harusi basi utata mtupu.
For sureSensational leo tunaweza kuona nusu dozen ya magoli
Tusahau tena while colney medical facility inasema kweli hahah poleNa msahau usajili...