Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1471193972139.jpg

A
R
S
A
Y
N
O

T
H
E

M
A
N
D
A
Z
Mtateseka hadi siku mkigundua Prof Wengewenge ni pacha wa Mr Bean
 
Season over. Arsenal got relegated, Liverpool have the title. See you next weekend.
hata siku moja kwa beki vile Arsenal haijifunzi sijui why na LFC pia haijifunzi kwa Arsenal kwamba mpira sio Pasi na touch ndogo nakuwa soft na kama huna DM na beki ligi si rahisi kushinda afazali nyie ila LFC lazima ijifunze makosa kwa Arsenal ila kwa sie LfC muhimu point 3! mpira wa UK ni Mabeki DM na kukimbiza, Ubishoo hushindi kitu.
 
Arsenal mko vzr sana...hii gemu ni kama mmeshinda. Msimu huu ushindi utaenda kwa Atsenal.
 
Every match is different.
Nakubaliana na wewe ila kama zitajifunza makosa yapo wapi na kukubali zitakuwa mbali ila kama ulivyosema game zinabadilika na vipi unaziingia ukicheza game ngumu toa ubishoo.
 
Jangaaaaa ...la babu .
Babu in or out?
Wale wenye roho ya paka na mioyo ya Titanium wa timu ya Wenger who? mnajisikiaje baada ya majogoo ya Malyafale kuwika kwa sauti ya radi na kuidondosha ndege ya Emirates?

Na leo mmepata zawadi ya majeruhi ngapi? Ramziii na nani vile?
 
Opening game ishakua msiba kwetu naona msimu wa 3 in row tunapigwa kila pazia likifunguliwa na balaa linatukuta hapa hapa Emirates
 
Ndo maana niliamua kuhamia man u nijilie raha sitak shida hiz
Sio rahisi kama unavyosema kama kweli ulikuwa unaipenda kweli timu yako,me nimejaribu kuhama zaidi ya Mara moja nimeshindwa.Yaani siwezi kabisa,ngoja niendelee kufa na tai shingoni tu,always gunner's.
 
Unajua mi kuna kitu najiuliza nakosa majibu
IVI unawezaje kuing'anga'nia kwa hali kama hii?
Kwani mlikula kiapo?
Mbona lile sio kabila wakuu mnaweza kuhama tuu kama ngongo
Nshakumbuka Ngongo alihama...tena alileta na post kabisa hapa jikwaani!!
 
Sio rahisi kama unavyosema kama kweli ulikuwa unaipenda kweli timu yako,me nimejaribu kuhama zaidi ya Mara moja nimeshindwa.Yaani siwezi kabisa,ngoja niendelee kufa na tai shingoni tu,always gunner's.
mwisho Wa saa utakuja jinyonga mkuu hilo sio kabila mkuu
 
Ila huyu Mzee Wenger atatuua mwaka huu kwa presha,haiwezekani Mzee anapewa pesa alafu anarudisha benki eti amekosa kabisa striker wa kumleta arsenal. Yaani huyu Mzee amekuwa fal.a sana.
 
Back
Top Bottom