joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,267
- 32,015
Kila siku arsene wenger anaishia Kutamani mara vardy, marhez mara mustafi mwisho wa siku hatuoni kitu chochote, kila siku tumekuwa watu wa kulala na panadol mixer diclopar. Mzee inabidi asajili asitegemee bahati, itafikia mabandani tutakuwa tukiingia kwa kunyata na Kutoka kwa kunyata kila siku hatujiamin na tim yetu na kama amechoka aondoke tutamshukuru na kumkumbuka kwa hapo alopotufikisha inatosha