Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila siku arsene wenger anaishia Kutamani mara vardy, marhez mara mustafi mwisho wa siku hatuoni kitu chochote, kila siku tumekuwa watu wa kulala na panadol mixer diclopar. Mzee inabidi asajili asitegemee bahati, itafikia mabandani tutakuwa tukiingia kwa kunyata na Kutoka kwa kunyata kila siku hatujiamin na tim yetu na kama amechoka aondoke tutamshukuru na kumkumbuka kwa hapo alopotufikisha inatosha
 
Nadhani kuna watu humu wanastahili kuendeleza ushabiki wa Simba na Yanga, usiojali kuwa objective. Nasema hivi kutokana na post ninazosomaga. Arsenal wamefungwa na a best team on this day fair and square, kusajili au kutosajili it doesn't matter kwamba timu haitafungwa hata mechi moja. Ni mechi ya kwanza kufungwa msimu ndio unaanza it doesn't mean Arsenal wataendelea kufungwa kila mechi au watashinda kila mechi tokea leo.
Sio kufungwa 4-3! Hata hao Liverpool nao wameonesha ni timu isiojitambua kama Arsenal tu. Unaongeza 4-1 mara vuuuup 4-3 mnaanza kutapatapa! Leo zimekutana timu zinazokimbia uwanjani kama kuku waliokatwa vichwa!
 
6i-via-the-football-arena.jpg
 
Mshambuliaji wa Real madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Karim Benzema amekamilisha uhamisho wake wa pounds millioni 70 na kujiunga na klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza,ili kupata vichekesho vingine kama hiki tuma neno WENGER kwenda 15528
 
Wachambuzi nisaidieni kuhusu mechi ya Jana, maana Tim nzima ili doda namaanisha arsenal yangu
 
Arsenal imedumaa na haikui. Its like Messi wakati akiwa mdogo Barca walimnusuru. Arsenal inahitaji Barcelona kuinusuru ili walau ikue, na huyu Barcelona basi walau au wa mafuta au Wachimba chuma wa Russia.

Babu AW ni tatizo lkn kumwona yeye kama ni tatizo pekee basi tunakosea, nyuma yake kuna Bodi na bodi inaweka malengo yake ya mwaka, na yanatakiwa kufikiwa, sasa wasiwasi wangu ni kuwa Bodi inaeeka malengo yake ya mwaka na ya muda mrefu ambayo babu anayatimiza. Sasa hapo ndo panapoibua maswali bodi malengo yake ni yepi? Pengine wanaseti malengo finyu sana na ambayo anayafikia. Na kwa hali ilivyo sasa hakuna mtu hapendi ajira isiyo na presha, AW kwa sasa hana presha na kibarua chake kabisa. Anajua mwisho wa siku anatimiza malengo ya mwajiri wake na pengine kuyavuka kabisa.

Mmiliki wa team ana matatizo na tatizo kubwa kwake ni kukosa kuufahamu mpira wa miguu ambako amewekeza pesa yake. Kama mwisho wa mwaka sehemu yake ya faida inaingia na hakuna tatizo na hajui juu ya furaha ya mashabiki na ushindi.

Silent Stan has to go aiache team, chini yake toka ameichukua team haijasogea mbele zaidi ya kumlipa gawio toka kwenye uwekezaji mdogo sana anaoufanya.

Why Money on the bank. Kama viingilio vya wanaotaka kuiona team yao inapata mafanikio kwa kunyakua mataji bado viko juu, kwa nn pesa hiyo isiwekezwe kwa kununua wachezaji?
 
Msimu huu tutatobo kweli kwenye big four?
Jana nliona km beki yetu haiko imara sana
 
Back
Top Bottom