Some hope a little. 3-4
Sasa kama hawa wabovu wanatupiga hivi, itakuwaje kwa Man city au ChelseaArsenal, wakikomaa wanasawazisha hata Liverpool wenyewe siyo wazuri wa kiivyo.
MB 2 !?? Hizo si uandike status mpya facebook ukalale mkuu!?!Hivi ni internet plan ipi utaona live soccer streaming bila kukatakata
Nina megabyte 2 za one day kifurushi cha vodacom lakini inakatakata
Mata wa kumzuia ni Mourinho mwenyewe.Kwa arsenal sijaona wa kumzuia Zlatan, Martial, Mata, Rooney na Fellain.
Kwa arsenal sijaona wa kumzuia Zlatan, Martial, Mata, Rooney na Fellain.
naona unaona aibu hata kuitaja Man u, kutana na sisi tuwapige 10 bila..Sasa kama hawa wabovu wanatupiga hivi, itakuwaje kwa Man city au Chelsea
Pole mtan ligi bado mbichiHaya ngoja nilie hapa tumefungwa 4 sijui 5 mwanzo wetu mgumu kwa mara ya 2 mfululizo

Uliza ars amefungwa ngap?Asenane kashinda ngapi???
Nisiku nyinhi amekua akiambiwa hivyo lakini hakukuwai kua na tija ata siku mojaMkuu kama wanaona stadium iko empty kwa mashabiki kwenda kuona vipigo kama hiki watatia akili kichwani. Haiwezekani wakusanye mabilioni ya pesa kila mwaka halafu wanaishia kufanya usajili ambao hauleti ushindi. Mimi huwalaumu pia wapenzi na mashabiki ambao huijaza stadium huku wakiwa hawana furaha na usajili wa Wenger. Umesikia wakimwimbia Wenger Chants of "don't know what you're doing"