OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Hatuna timu ya ushindani timu zote kubwa wamefanya usajili wa maana huyu mzee analeta jokes kila msimu hafai mpumbavu sanaOpening game ishakua msiba kwetu naona msimu wa 3 in row tunapigwa kila pazia likifunguliwa na balaa linatukuta hapa hapa Emirates
