Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inaweza kuwa ni plot ya wachezaji wote lakini kwa faida ya timu inasaidia kumkumbusha Wenger umuhimu wa kusajili mshambuliaji ambae ni mmaliziaji mzuri.

Ila hii itakuwa ni mara ya pili Ozil kwenda public maana mara ya kwanza alitamka maneno ya kuonyeshwa kukasirishwa na Giroud na Wenger akakaa kuzungumza nae kuhusu hilo.

Tatizo ni kwamba mipangoya siri ya Arsenal ni Wenger, Gazidis na bodi ndiyo wanafahamu si mwingine.


Kuna tetes za lendawoski yule wa bayern umezisikia ?
 
Kuna tetes za lendawoski yule wa bayern umezisikia ?

Huyo itakuwa vigumu.

Bado Arsenal wanaweza kusajili mshambuliaji dakika za mwisho.

Wanaweza kurudi kwa Lacazette na kuongeza dau.

Kama nilivyosema huko nyuma Arsenal walikwishapanga kutumia si zaidi ya 100M msimu huu.
 
Huyo itakuwa vigumu.

Bado Arsenal wanaweza kusajili mshambuliaji dakika za mwisho.

Wanaweza kurudi kwa Lacazette na kuongeza dau.

Kama nilivyosema huko nyuma Arsenal walikwishapanga kutumia si zaidi ya 100M msimu huu.

....hujaskia Lacazzette mgonjwa, na anauzwa kwa paundi 60 milioni!, forget it completely,Wenger will never bother.

.....Thierry Henry katoa ushauri mzuri sn kwa Wenger, ajaribu kumchezesha Sanchez karibu na Giroud, zile aerial battle Giroud huwa mzuri sana, na km patakuwepo na "mtu mtundu" km Sanchez karibu, basi magoli yatapatikana!, katoa mfano Griezmann alivyokuwa anafunga kwenye Euro kutokana na mbinu/kuwa karibu na Giroud!
 
Kocha wenu kajitahidi kuifanya timu iweze kushindana kwenye EPL na hata UEFA, je usajili wake utazaa matunda uwanjani? Tusubiri ila mimi kaniudhi jinsi alivyomtenda Benteke. Bado naamini Benteke ni mchezaji mzuri sana na mfungaji mzuri wa magoli. Namuombea akafanye vizuri huko atakakoenda.

Najua sasa mnayaogopa sana MAJOGOO
MAJOGOO is ruthless now,yanakuja hapo hapo Emirates kukufirigisa
Belo na BAK najua sasa mnayaogopa sana Majogoo
 
Usiishi kwa kukalili, dirisha kubwa la usajili msimu uliopita chelsea ilimsajili pedro tu

wewe taahira, hujui mambo ya mpira, unaangalia mpira kwenye vibanda mnadanganyana unakuja jukwaani kuandika upupu. Ukikuta wanaume wanaongea, funga bakuli lako.
Msimu 2015/16 Chelsea imenunua wachezaji wafuatao:
1. Danilo Pantic Kutoka Partizan Kiasi Pound 1,250,000 Tarehe 01.07.2015
2. Asmir Begovic Stoke 8,000,000 13.07.2015
3. Kenedy Fluminence 6,300,000 27.07.2015
4. Baba Rahman Augsburg 21,700,000 11.08.2015
5 Pedro Barcelona 21,000,000 20.8.2015
6. Papy Djilodji Nantes 2,700,000 01.09.2015
7 Michael Hector Reading 4,000,000 01.9.2015
8 Marco Amelia Milan 08.10.2016
9 Matt Mazga NY Red Bulls 3,500,000 30.1. 2016
10. Mitchi Batshuayi Marseile 33,200,000 03.7.2016
 
wewe taahira, hujui mambo ya mpira, unaangalia mpira kwenye vibanda mnadanganyana unakuja jukwaani kuandika upupu. Ukikuta wanaume wanaongea, funga bakuli lako.
Msimu 2015/16 Chelsea imenunua wachezaji wafuatao:
1. Danilo Pantic Kutoka Partizan Kiasi Pound 1,250,000 Tarehe 01.07.2015
2. Asmir Begovic Stoke 8,000,000 13.07.2015
3. Kenedy Fluminence 6,300,000 27.07.2015
4. Baba Rahman Augsburg 21,700,000 11.08.2015
5 Pedro Barcelona 21,000,000 20.8.2015
6. Papy Djilodji Nantes 2,700,000 01.09.2015
7 Michael Hector Reading 4,000,000 01.9.2015
8 Marco Amelia Milan 08.10.2016
9 Matt Mazga NY Red Bulls 3,500,000 30.1. 2016
10. Mitchi Batshuayi Marseile 33,200,000 03.7.2016
Hizi bange hizi, umehangaika na goggle toka jana ndio umerudi na hayo majina? hebu nambie kwenye hyo orodha yako ukiachana na pedro ni nani aliyekuja kama starting XI?

Sasa nyie mnalia lia nini wakati mzee wenu kasajili Xhaka, Nwakali, taKUMA, na mustafi. Mna akina chamber, sanogo wanaoza benchi
 
Hakuna shaka game ya J2 na Liva Mabeki wasio na uzoefu wataanza (Chambers na Holdings) wasiwasi wangu kwa kasi ya Mane na Coutihno tutazuia mvua ya magoli?
Hizo ndio game za 3-3,5-4.
 
Hatari sana
 

Attachments

  • FB_IMG_1471002984749.jpg
    FB_IMG_1471002984749.jpg
    11.8 KB · Views: 36
Hakuna shaka game ya J2 na Liva Mabeki wasio na uzoefu wataanza (Chambers na Holdings) wasiwasi wangu kwa kasi ya Mane na Coutihno tutazuia mvua ya magoli?
Hizo ndio game za 3-3,5-4.

Granit Xhaka na Elneny/Coquelin waki-control vizuri midfield, beki inaweza kujikuta na kazi ndogo. The defence is not that much bad
 
Kocha wenu kajitahidi kuifanya timu iweze kushindana kwenye EPL na hata UEFA, je usajili wake utazaa matunda uwanjani? Tusubiri ila mimi kaniudhi jinsi alivyomtenda Benteke. Bado naamini Benteke ni mchezaji mzuri sana na mfungaji mzuri wa magoli. Namuombea akafanye vizuri huko atakakoenda.
Benteke HANA kasi ya kumalizia krosi za Sane
Anachelewa kila saa
Ni mchezaji mzuri na atafanya vyema CP aendako
Naona mna matatizo mbele nyie,mchukueni Balo
Atawasaidia sana
 
Bado babu kuna wacheza anawatarget labda watasaidia kupunguza kigugumizi cha miguu ndani ya 18 za opponents wetu.

Benteke HANA kasi ya kumalizia krosi za Sane
Anachelewa kila saa
Ni mchezaji mzuri na atafanya vyema CP aendako
Naona mna matatizo mbele nyie,mchukueni Balo
Atawasaidia sana
 
Dr. Lik anasema Wenga ni Mzee ambaye hataki kuona mambo yakibadilika.
Docta amethibitisha kuwa umri unavyozidi kuwa mkubwa ndivyo kutopenda mabadiliko kunaongezeka.
Kwa hiyo Wenger ana phycological problem
 
Back
Top Bottom