Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dahhh nimeamini ule msemo wa once a gunner forever a gunner, huyu mzee anazingua sana ila ndo hivo tena arsenal fans wako royal sana, ingekuwa mashabik wa man u team ingebaki na familia ya graizer tu. Na huyu wenger angekuwa tanzania ata mm ningejitolea kumchoma visu vingi sana hadi awe km chujio
mi nisha umia moyo mpaaaka yaani nimeacha
 
Sasa hili jamaa.miaka 10 halijashinda kombe kwann linangangania...lenyewe linazidi kutajirika tu inakufa jitu la hovyo sana hili...
 
Sasa hili jamaa.miaka 10 halijashinda kombe kwann linangangania...lenyewe linazidi kutajirika tu inakufa jitu la hovyo sana hili...
mzee pichu sana huyu yaani ye anona sawa si kuumia moyo namshangaa huyu mfaransa gani wa ajabu hivi
 
4b945cdb3bf11b993b94a2f4263551a3.png
 
Kule ulaya wanasema ooh Afrika watu wanangangani Madaraka..
.lakini jitu kama hili bado liko miaka yote na halishindi kitu
 
Liva naona wametuma salam ya nn watafanya siku ya ufunguzi wa ligi dhidi yetu. Wamepiga mpira mkubwa sana.
 
Samahan kwa kuvamia huku...nipen channel ya mech ya leo chelse
 
Back
Top Bottom