Acheni mboyoyo, kwani sababu ya man u, chelsea, liverpool zimebadili makocha kwa nia ya kuwa 7,8 au 9??? mapovu yanawatoka kwa arsenal 2, humuoni bingwa aliepita na nafac aliepo kwanini bingwa asie yy, kabla hujasema team ya mwenzio angalia na yako sio umbea 2, unataka unanimbie kwa kuangalia uwezo wa kikosi mlitegemea arsenal ndo atakuwa juu ya chelsea na man city? Haya nyie mlietegemea kina aguero, costa, martial, benteke, hazard, depay, mko wapi??? Haya maneno muwe mnamwambia wenger mwenyewe coz huu ujuzi wenu wa uchambuzi at ukiniambia mm humu jf hausadii