Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Transfer Updates: Arsenal wanabania paundi milioni 2!....
Arsenal tayari walikwishaweka mezani paundi milioni 33.1 au Euro milioni 43 kwa mchezaji huyo anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach ya Ujerumani.

Klabu hiyo imekwishasema inataka paundi milioni 35.3 ambazo kwa mara ingine tena Arsenal wameanza kubania.
....
COYGs! Wenger vunja benki!
Kikosi cha Leicester kilichotwaa ubingwa kwa pamoja kimenunuliwa kwa thamani ya paundi milioni 57
 
Kikosi cha Leicester kilichotwaa ubingwa kwa pamoja ni kimenunuliwa kwa thamani ya paundi milioni 57

Ni sawa kwasababu Ranieri hakutaka kufanya mabadiliko makubwa sana na akataka kukitengeneza kikosi alichokikuta.

Lakini Leicester wakikaa sana kwenye ligi wanaweza kuamua kusajili wachezaji wa gharama za juu.

Ila falsafa ya Ranieri na maskauti wake ni kutafuta wachezaji ambao ni "unkown" na kuwandeleza. Kila timu na meneja wana falsafa yao.

Unafahamu kwamba Leicester ina wachezaji watatu ambao walikuwa "rejected" na LVG pale Manchester Utd? Wachezaji hao ni Danny Simpsons ambae ni beki wa kulia, mchezaji wa kiungo Danny Drinkwater na beki mshahara Wes Morgan ambae ndie nahodha wao.

Lakini Claudio Ranieri amewatengeza wachezaji hawa rejects na thamani yao kwa sasa ni kubwa.

Leicester wana skauti wao mkuu anaitwa Steve Walsh na ndie aliewagundua Jamie Vardy, Riyadh Mahrez na N'golo Kante.

Steve Walsh ni mmoja wa "masters" katika eneo hilo.

Arsene Wenger alikwishamuangalia Riyadh Mahrez baada ya kupata taarifa za maskauti wake lakini akaona kwa wakati ule tayari alikuwa na attacking midfilders wa kutosha ambao ni Santi Cazorla na Aaron Ramsey.
 
Ni sawa kwasababu Ranieri hakutaka kufanya mabadiliko makubwa sana na akataka kukitengeneza kikosi alichokikuta.

Lakini Leicester wakikaa sana kwenye ligi wanaweza kuamua kusajili wachezaji wa gharama za juu.

Ila falsafa ya Ranieri na maskauti wake ni kutafuta wachezaji ambao ni "unkown" na kuwandeleza. Kila timu na meneja wana falsafa yao.

Unafahamu kwamba Leicester ina wachezaji watatu ambao walikuwa "rejected" na LVG pale Manchester Utd? Wachezaji hao ni Danny Simpsons ambae ni beki wa kulia, mchezaji wa kiungo Danny Drinkwater na beki mshahara Wes Morgan ambae ndie nahodha wao.

Lakini Claudio Ranieri amewatengeza wachezaji hawa rejects na thamani yao kwa sasa ni kubwa.

Leicester wana skauti wao mkuu anaitwa Steve Walsh na ndie aliewagundua Jamie Vardy, Riyadh Mahrez na N'golo Kante.

Steve Walsh ni mmoja wa "masters" katika eneo hilo.

Arsene Wenger alikwishamuangalia Riyadh Mahrez baada ya kupata taarifa za maskauti wake lakini akaona kwa wakati ule tayari alikuwa na attacking midfilders wa kutosha ambao ni Santi Cazorla na Aaron Ramsey.
Danny Simpson na Dany Drinkwater waliondoka Manchester United enzi za Sir Alex Ferguson LVG hajawakuta kabisa na Wes Morgan hajawahi kuchezea Manchester United
 
Arsenal player of the season
ImageUploadedByJamiiForums1463751710.097892.jpg
 
Danny Simpson na Dany Drinkwater waliondoka Manchester United enzi za Sir Alex Ferguson LVG hajawakuta kabisa na Wes Morgan hajawahi kuchezea Manchester United

Hawa wanaitwa "rejects" kwa sababu hawakuonekana na ubora wowote kwa Man Utd.

Ila nimemchanganya Wes Morgan yeye anatokea Notingham Forest.

Hata hivyo Leicester ina wachezaji 6 walotoka Man Utd namiongoni mwao ni Danny Simpson, Danny Drinkwater.
 
Hawa wanaitwa "rejects" kwa sababu hawakuonekana na ubora wowote kwa Man Utd.

Ila nimemchanganya Wes Morgan yeye anatokea Notingham Forest.

Hata hivyo Leicester ina wachezaji 6 walotoka Man Utd namiongoni mwao ni Danny Simpson, Danny Drinkwater.

Umeongea kuwa ni LVG reject ,ndio nikakwambia hao waliondoka tangu enzi za Ferguson na hao reject wa United wako kwenye timu nyingi including kina Welbeck,Cleverley,Gibson,Oshea,Brown,Obertan,Fletcher na wengineo
 
Umeongea kuwa ni LVG reject ,ndio nikakwambia hao waliondoka tangu enzi za Ferguson na hao reject wa United wako kwenye timu nyingi including kina Welbeck,Cleverley,Gibson,Oshea,Brown,Obertan,Fletcher na wengineo

Sawa mkuu tunasubiri Man Utd kali msimu ujao.
 
Usajili Updates

Arsenal leo wamekamilisha taratibu zote muhimu za usajili wa Granit Xhaka kutoka timu ya Borussia Monchengladbach ya Ujerumani.
4951037682.jpg

Granit Xhaka

Arsenal itakuwa ni timu ya kwanza kufanya usajili ambao meneja Arsene Wenger alikuwishauwekea kipaumbele tangia mwezi wa January mwaka huu.

Xhaka aliwasili jijini London Ijumaa asubuhi kwa ajili ya kufanyiwa "medical" ambayo ni sehemu muhimu ya usajili.

Arsenal inaaminiwa kuwa wametoa kwanza kiasi cha paundi milioni 25 zikiwa ni sehemu ya ada kamili ya paundi milioni 30 hivi ambazo zitakuwa zikilipwa kutokana na ufanisi wa mchezaji huyo uwanjani.

Habari hii ya usajili wa Granit Xhaka niliileta mapema mwezi ulopita na bado Arsenal wana mpango wa kusajili mshambuliaji.

Arsenal watatangaza rasmi usajili huu wiki ijayo kati ya Jumatatu na jumanne.

Bado ntakuja na habari za karibu na ndani za usajili wa Arsenal ambayo safari hii wamepania kufanya kweli.
 
Back
Top Bottom