MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
That he has lost it.What does Wenger has to say about this season?
He is not what he used to be and he will never be tje same again
That he has lost it.What does Wenger has to say about this season?
wewe si ulikimbia tangu zamaniDuh ahsanteni sana watoto wa Mzee Bean.
wewe si ulikimbia tangu zamani
Kwahiyo ukimwacha mke kama kafanya jambo jema hakuna kumsifia ?.
Thanx much lads,inatosha kabisa kwa msimu huu sio mbaya nimefurahi tumemaliza vizuri especially kua juu ya Spurs.Thanx much lads,inatosha kabisa kwa msimu huu sio mbaya nimefurahi tumemaliza vizuri especially kua juu ya Spurs.
Wenger alishawaroga
Two wrong dont make it right,Mlipaswa ku-take advantage hichi kipindi ambacho timu nyingine zinaboronga (Chelsea,United,City,Liverpool ) .Naona baadhi ya mashabiki tayari mmeshazoeaNyie ambao hamjalogwa mpo nafasi ya ngap vile
Kwa nini mnasema arsenal tu ndo ingetake advantage? Liver na manutd vipi?Two wrong dont make it right,Mlipaswa ku-take advantage hichi kipindi ambacho timu nyingine zinaboronga (Chelsea,United,City,Liverpool ) .Naona baadhi ya mashabiki tayari mmeshazoea
Arsenal,Chelsea,Liverpool wamebadilisha makocha miaka ya karibuni Arsener Wenger yupo zaidi ya miaka 20.Na kabla hawajajenga uwanja alikuwa na kisingizio timu haina hela kushindana na wenzake now Emirates imekamilika lakini cha ajabu bado anawategemea striker kama Giroud,WalcottKwa nini mnasema arsenal tu ndo ingetake advantage? Liver na manutd vipi?
Arsenal,Chelsea,Liverpool wamebadilisha makocha miaka ya karibuni Arsener Wenger yupo zaidi ya miaka 20.Na kabla hawajajenga uwanja alikuwa na kisingizio timu haina hela kushindana na wenzake now Emirates imekamilika lakini cha ajabu bado anawategemea striker kama Giroud,Walcott
Yaani kila MTU Arsenal tu timu zipo nyingi na yoyote aweza kuwa bngwaAcheni mboyoyo, kwani sababu ya man u, chelsea, liverpool zimebadili makocha kwa nia ya kuwa 7, 8, au 9??? Wote nia yao washinde ligi ila mapovu yanawatoka kwa arsenal2, humuoni bingwa aliepita na nafac aliepo, kabla hujasema team ya mwenzio angalia na yako sio umbea 2, unataka unanimbie kwa kuangalia uwezo wa kikosi mlitegemea arsenal ndo atakuwa juu ya chelsea na man city? Jadilini mambo ya makocha wenu huko sio kuleta ufundi ujuaji huku