Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Spurs ni Bottlers hapana tokea Duniani

Unakulaje Mkono na Timu iko Relegated? tena wana mtu wao kala ''UMEME" wako pungufu?

spurs wamezingua sana....
One man advantage mtu unakula mkono

But lets give credit where it's due, spurs + west ham + soton walikua na msimu mzuri sana, wakicheza mpira flani amazing, lovely football mpira ambao man u na kelele zetu tutaendelea kuusikia tu chini ya van gaal,

Missing Alli na dembele kwenye midfield ilikua big loss sana kwa spurs, pili walikua hawana cha kupoteza champions league spot wameshapata wakati huo Newcastle wakikomaa angalau waweze kumshawishi Benitez abaki nao.

All in all mkubali tu kwamba msimu huu ulikua wenu, na mmmezingua wenyewe,

#tukutanemsimuujao
 
Wapenzi wa Gunners msiwe na wasiwasi,Wenger msmu ujao atakuwa busy sana.

Kuondoka kwa Flamini, Arteta na Rosicky ndio kutafanya Arsenal isajili wachezaji watatu.

Wachezaji hao ni wa sehemu ya ulinzi, kiungo na ushambuliaji.

Kampuni ya Collins Sarri Statham Invstiment ambayo ndio inashughulikia hesabu na akaunti ya Arsenal wamesema kwamba kiasi kilichopo kilichotengwa kwa ajili ya usajili kwa Wenger ni milioni 54.1.

Pia accountants hao wamesema ni lazima Arsene Wenger auze wachezaji ili aweze kuongeza fedha zaidi kusajili wachezaji atakaowahitaji.

Kuumia kwa Danny Welbeck kutafanya Arsenal itasajili mshambuliaji huku sehemu ya kiungo Granit Xhaka wa timu ya Borussia Monchenladbach ya Ujerumani inaaminika anamalizia taratibu za usajili utakaogharimu kiasi cha paundi milioni 33.8 hivi.

Pia Arsenal wanafanya utafiti wa kumsajili N'golo Kante wa Leicester ingawa Leicester wanaweza kuweka gharama kama milioni 20 hivi kwa mali yao hiyo endapo watashindwa kwa Granit Xhaka.

Hata hivyo Arsenal wana mtihani mkubwa wa kuchagua ni mchezaji yupi kati ya hawa ambae inamhitaji huku sehemu mbalimbali za maskauti wakimpa alama za juu N'golo Kante.

Hapo chini picha inaonyesha alama za ufanisi wa wachezaji hao wawili wakiwa uwanjani.

kante-xhaka.png


530029844.jpg

N'golo Kante
496171784.jpg

Granit Xhaka

Arsenal kama wanamtaka N'golo Kante itawabidi kufanya haraka na kulipa paundi milioni 20 ambazo zimo kwenye mkataba wake endapo utavunjwa.

Hivyo sehemu ya kiungo itakuwa na Mohamed Elneny, Jack Wilshere, Francis Coquelin na Santi Cazorla, huku Wenger akitaka mlinzi kuongo wa kusaidiana na Coquelin.

Theo Walcott huenda akasajiliwa na West Ham Utd kwa kiasi kama cha paundi milioni 20 ambazo zinaweza kutumika kumsajili beki mwingine.

Maskauti wa Arsenal wamerudi kuwatazama washambuliaji Alvaro Morata wa Juventus na Mauro Icardi wa Inter Milan kuanza utaratubu wa maulizo.

Mchezaji mwingine alieko kwenye ufutiliaji ni mshambuliaji wa Real Madrid James Rodriguez ambae amekuwa akikaa sana bench na aaweza kusajiliwa na Arsenal kwa malipo ya paundi laki 120,000 kwa wiki.

Walcott ambae hatarajiwi kuchezea timu ya Uingereza kwenye fainali za kombe la Ulaya ameshindwa kabisa msimu huu kuonyesha makucha yake na meneja wa Uingereza Roy Hodgson ameamua kumfikiria Andy Townsend.

Ntarudi baadae kuelezea ufuatiliaji wa Arsenal katika kumsaka beki mshahara mwingine.
 
Wapenzi wa Gunners msiwe na wasiwasi,Wenger msmu ujao atakuwa busy sana.

Kuondoka kwa Flamini, Arteta na Rosicky ndio kutafanya Arsenal isajili wachezaji watatu.

Wachezaji hao ni wa sehemu ya ulinzi, kiungo na ushambuliaji.

Kampuni ya Collins Sarri Statham Invstiment ambayo ndio inashughulikia hesabu na akaunti ya Arsenal wamesema kwamba kiasi kilichopo kilichotengwa kwa ajili ya usajili kwa Wenger ni milioni 54.1.

Pia accountants hao wamesema ni lazima Arsene Wenger auze wachezaji ili aweze kuongeza fedha zaidi kusajili wachezaji atakaowahitaji.

Kuumia kwa Danny Welbeck kutafanya Arsenal itasajili mshambuliaji huku sehemu ya kiungo Granit Xhaka wa timu ya Borussia Monchenladbach ya Ujerumani inaaminika anamalizia taratibu za usajili utakaogharimu kiasi cha paundi milioni 33.8 hivi.

Pia Arsenal wanafanya utafiti wa kumsajili N'golo Kante wa Leicester ingawa Leicester wanaweza kuweka gharama kama milioni 20 hivi kwa mali yao hiyo endapo watashindwa kwa Granit Xhaka.

Hata hivyo Arsenal wana mtihani mkubwa wa kuchagua ni mchezaji yupi kati ya hawa ambae inamhitaji huku sehemu mbalimbali za maskauti wakimpa alama za juu N'golo Kante.

Hapo chini picha inaonyesha alama za ufanisi wa wachezaji hao wawili wakiwa uwanjani.

kante-xhaka.png


530029844.jpg

N'golo Kante
496171784.jpg

Granit Xhaka

Arsenal kama wanamtaka N'golo Kante itawabidi kufanya haraka na kulipa paundi milioni 20 ambazo zimo kwenye mkataba wake endapo utavunjwa.

Hivyo sehemu ya kiungo itakuwa na Mohamed Elneny, Jack Wilshere, Francis Coquelin na Santi Cazorla, huku Wenger akitaka mlinzi kuongo wa kusaidiana na Coquelin.

Theo Walcott huenda akasajiliwa na West Ham Utd kwa kiasi kama cha paundi milioni 20 ambazo zinaweza kutumika kumsajili beki mwingine.

Maskauti wa Arsenal wamerudi kuwatazama washambuliaji Alvaro Morata wa Juventus na Mauro Icardi wa Inter Milan kuanza utaratubu wa maulizo.

Mchezaji mwingine alieko kwenye ufutiliaji ni mshambuliaji wa Real Madrid James Rodriguez ambae amekuwa akikaa sana bench na aaweza kusajiliwa na Arsenal kwa malipo ya paundi laki 120,000 kwa wiki.

Walcott ambae hatarajiwi kuchezea timu ya Uingereza kwenye fainali za kombe la Ulaya ameshindwa kabisa msimu huu kuonyesha makucha yake na meneja wa Uingereza Roy Hodgson ameamua kumfikiria Andy Townsend.

Ntarudi baadae kuelezea ufuatiliaji wa Arsenal katika kumsaka beki mshahara mwingine.

Kaka nakushukuru sana kwa kutujuza..

Binafsi mimi msimu nilimalizaga tangu mwezi wa nne baada ya kuona timu ina mwenendo mbovu na dalili zilizoonyesha hakuna kipya ambacho kingeweza kutokea mwisho wa ligi.. sasa tangia hapo nimekuwa mvivu wa kufuatilia news zozote zile yaani mara kadhaa nikionaga gist yoyote inayohusu Arsenal nascroll down sisomi.


Kilichobaki sasa hivi nawasubiri ufaransa tu kwenye EURO.

Ila sasa hivi huyo Ganit Xhaka inatakiwa achukuliwe mapema hii kabla ya kwenda kwenye EURO maana asije kufanya wonders huko alafu yakatokea majabali yasiyokuwa na nidhamu ya fedha atimae tukajikuta tunamkosa.
 
Mimi Natamani ubao usomeke hivi mwisho wa ligi 1.Spurs,,2.Leicester,,3.man city na 4.Man u Hii itaspeed up reaction ya hichi kizee (Wenger) kuondoka.Graph yake Umeshafika Kwenye point ya mwisho.Ninaamini mwisho wake uko Karibu.
Wewe kwa utabiri wa aina hii utawalisha hewa(upepo)wengi.

Spurs wanataka Wenger awe kocha wao.
Wenger in or out?
 
Babu nunua wachezaji...............
Nina wasiwasi na hilo.
Focus labda iende kwa wachezaji wa bei rahisi tu.
£54.4 itatosha kununua nguli gani, Kama Alvaro Morrata inatakiwa 51 unabakiwa na 3.4.

Bodi nayo ipunguze utani, wanaifanya team ni ya majaribio ya kujenga uchumi wao binafsi

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Hutakiwi kuuliza hapo hata mtoto wa miezi anajua
Acheni kuoshwa akili na huyu mzee. Eti next season we want to finish better than this. Mara ngapi ametulisha matapisha haya haya!?

Kama msimu huu hataondoka next season anakuwa na matapishi haya haya ya kutuaminisha kama vifaranga vya kuku, mtanyonya kesho.

It's simple ambitions za board ni kutengemeza faida bila kujenga mipango ya kuwafurahisha wapenzi wale. Mashabiki na wapenzi wa Arsenal ndo wadau wa kubwa wa kufikia hilo lengo lao la kutengeneza faida. Kwa kununua Tiketi za msimu kununua jezi za team za home na away, lkn wapenzi wanapokuwa wengi na wenye amsha amsha ya kutosha kwa team yao huifanya team kuaminika na kupata udhamini wa kutakata wa matangazo mazito mazito. Kinyume chake ni kupoteza hadhi na biashara hizi zote kupotea.

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Transfer Updates: Arsenal wanabania paundi milioni 2!

Arsenal safari hii wanafanya kweli na mpaka sasa mazungumzo na wawakilishi wa Granit Xhaka yapo kwenye hatua za mwisho, lakini kuna tatizo- kuna upungufu wa ada ya usajili.

498729554.jpg


Granit Xhaka mwenyewe anapendelea asajiliwe na Arsenal kabla ya fainali za kombe la mataifa ya ulaya mwezi ujao.

Mchezaji huyo mwenye umriwa miaka 23 ni raia wa Switzerand na ataiwakilisha nchi hiyo kwenye fainali hizo.

Arsenal tayari walikwishaweka mezani paundi milioni 33.1 au Euro milioni 43 kwa mchezaji huyo anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach ya Ujerumani.

Klabu hiyo imekwishasema inataka paundi milioni 35.3 ambazo kwa mara ingine tena Arsenal wameanza kubania.

Wawakilishi wa Arsenal katika masuala ya usajili wakiongozwa na mtaalam bwana Richard Law wameagizwa na Supremo Arsene Wenger kwamba wawe wamekamilisha taratibuzote kabla ya Euro 2016 kuondosha vurugu kutoka timu zingine ambazo zinaweza kutaka kumsajili mchezaji huyo ikiwa atavutia uchezaji wake kwenye fainali hizo.

COYGs! Wenger vunja benki!
 
kuwa na kocha ambaye anashindwa kuwajengea wachezaji wake mentality ya kutokata tamaa ni kuendelea kupromote continuous failure....in short AW will never win EPL again with his management style.....
Ila take Liverpool as a benchmark uone jinsi Klop alivyoijenga timu kisaikolojia, same players ila performance tofauti kabisa na ya Brendan....angalia mechi yao na Dortmund from 3-1 down to 4-3 kitu ambacho kwa Arsenal ya AW ni day dream
Burudika na jipe furaha hapa. Link Liverpool 1-3 Sevilla

Ukipenda nikumbushe Liverpool imemaliza nafasi ya ngapi kwenye EPL? Arsenal je?

Nimekumbuka ," Khe khe kheeeeee"

Nani kama Wenger? Wenger in or out?

cc Enzo, Ntuzu, Malafyale
 
Burudika na jipe furaha hapa. Link Liverpool 1-3 Sevilla

Ukipenda nikumbushe Liverpool imemaliza nafasi ya ngapi kwenye EPL? Arsenal je?

Nimekumbuka ," Khe khe kheeeeee"

Nani kama Wenger? Wenger in or out?

cc Enzo, Ntuzu, Malafyale

false hopes....!! but all in all we have no that spirit to perform under pressure; Liverpool have lost a final but their mentality is very different from ours....from this group of Arsene players i see neither Giroud nor Ramsey bitterly cry after a final loss
 
in short Wenger Out....I'll never support Arsene's Arsenal again; I'll be a supporter once again after he is gone
 
false hopes....!! but all in all we have no that spirit to perform under pressure; Liverpool have lost a final but their mentality is very different from ours....from this group of Arsene players I see neither Giroud nor Ramsey bitterly cry after a final loss
Europa League final: What next for Jurgen Klopp and Liverpool?

Liverpool suffered a dramatic second-half collapse as Sevilla claimed the Europa League for the third season in succession with a superb comeback.

Wewe lia, angalia wenzako hapa.
_89737493_gameiro.jpg
 

Attachments

  • upload_2016-5-19_11-5-0.gif
    upload_2016-5-19_11-5-0.gif
    42 bytes · Views: 33
Back
Top Bottom