Umenichekesha sana, Teh teh, kwe kheeeeeeee.
Unazungumzia Liverpool iliyofungwa na Swansea 3-1 au Liverpool ingine?
Kwa hiyo unataka mchukue nafasi waliyo Liverpool? Hivi Liverpool wako nafasi ya ngapi katika msimamo wa Ligi?
Yule jamaa wa majogoo, Mayafyale, mafyalala au maafayale , kunradhi nimesahau jina lake nafikiri anatamani Liverpool ifike nafasi ya 3 au ya 4. Naamini hata Mafiaso wa Kirusi anatamani amwajiri Wenger ili Chelsea wacheze kandanda mwanana/kitale na sio mieleka na rugby.
Aiseee Wenger ana uzalendo, miaka 19+ kufundisha Timu moja.!!!
Saikolijia ya Klopp.
Link
Swansea City 3-1 Liverpool