nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,988
- 5,649
3. Barcelona, bwawa jipya la kijiji kila mtoto anaogelea, hata asiyejua!Viwili ambavyo mwanaume yeyote hapaswi kuviamini.
1. Wema Sepetu
2. Arsenal
3. Barcelona, bwawa jipya la kijiji kila mtoto anaogelea, hata asiyejua!Viwili ambavyo mwanaume yeyote hapaswi kuviamini.
1. Wema Sepetu
2. Arsenal
Alishakataa kuwa ataacha SuccessorWenger haondoki Arsenal mwaka huu ni mpaka mkataba uishe.
Ni yeye ndie atakaetafuta meneja mpya wa Arsenal halafu yeye kupanda kuwa mkurugenzi kwenye bodi na anatajwatajwa Ronald Koeman wa Southampton.
Anataka kufanya mabadiliko makubwa msimu ujao.
Wachezaji wengi wa Uingereza watauzwa.
![]()
Ramsey, Walcott, Chamberlain na Kieran Gibbs huenda wakajiunga na timu zingine za Uingereza.
Arsenal wanatarajiwa kukamilisha usajili wa Granit Xhaka Borussia Monchengladbach ya Germany mwishoni wa ligi hii au kabla.
Arsenal walipoteza nafasi ya kuwa bingwa walipofungwa na Man Utd na Swansea na kutoa sare na Tottenham na West Ham.
Kama Ranieri ataweza kushinda kwa nini Arsene Who!? ashindwe kutwaa tena, Wenger aendelee tu, Umeona wachezaji wa Leicester wanavyojituma na kukomalia? Kosa liko kwa baadhi ya wachezaji wa Arsenal. Kikosi cha Arsenal kina uwezo kabisa wa kutwaa Kombe lolote. Fans wawateremshie mkong'oto mtaani baadhi ya wachezaji wanaoleta "ujinga" uwanjani.Alishakataa kuwa ataacha Successor
na mambo yanavyokwenda kuna kila dalili hali isiwe nzuri "SUMMER" fans wataleta balaa sio dogo
.......
Ideally Arsene hasiwe mtu mkosa AIBU ajiondoe tu, he will never win it again
uking'ang'anizi ni KUHARIBU LEGACY yake mwenyewe
Swala la Kujituma linaanzia kwa Mwalimu. AW amefikia ukomo wa uwezo wake. Hana la zaidi la kuwapa wachezaji. Hata akiwa Benchi anaishoa kuchezea zipu tu. Akali imerudi utotoni. Huu ni muda wake wa kucheza na wajukuu zake kama anao.Kama Ranieri ataweza kushinda kwa nini Arsene Who!? ashindwe kutwaa tena, Wenger aendelee tu, Umeona wachezaji wa Leicester wanavyojituma na kukomalia? Kosa liko kwa baadhi ya wachezaji wa Arsenal. Kikosi cha Arsenal kina uwezo kabisa wa kutwaa Kombe lolote. Fans wawateremshie mkong'oto mtaani baadhi ya wachezaji wanaoleta "ujinga" uwanjani.
Brand football ya Arsene Wenger ni tabu kuibua, ina ladha ya kandanda. Kwa wachezaji hakuna kiongozi, anakosekana kiongozi/kiranja imara wa kuifanya timu ijitume ipasavyo uwanjani.
Tazama(kiranja) Morgan wa Leicester utaelewa nini nasema.
CC Enzo
Vipi Ranieri? Mtamkubali aje Arsenal? Au mnataka kocha wa Tottenham aje Arsenal?Swala la Kujituma linaanzia kwa Mwalimu. AW amefikia ukomo wa uwezo wake. Hana la zaidi la kuwapa wachezaji. Hata akiwa Benchi anaishoa kuchezea zipu tu. Akali imerudi utotoni. Huu ni muda wake wa kucheza na wajukuu zake kama anao.
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Asee bora na iwe hivyo so far there is no any positive so long as Spurs wako juu yake na likely next season watakuwa WAKALI ZAIDI ya hapoVipi Ranieri? Mtamkubali aje Arsenal? Au mnataka kocha wa Tottenham aje Arsenal?
Au mnataka kocha anayefundisha mieleka na rugby?
Mnamkumbuka Mou na Chelsea yake?
Alishakataa kuwa ataacha Successor
na mambo yanavyokwenda kuna kila dalili hali isiwe nzuri "SUMMER" fans wataleta balaa sio dogo
1. Spurs wana possibility kuwa Champs wako 5 points behind Leicester na Chelsea peke yake ndo Timu ngumu mbele yao kulinganisha na Leicester na Jimmy Vardy kapigwa BAN game 2 mfululizo
2.Spurs kumaliza juu ya Arsenal ni "INSULT" kwa Fans wa Arsenal ukizingatia ni Arch Rivals na wamekuwa Trailing kwa miaka 19 sasa, kumaliza juu yako kisoka wamekufikia UKO LEVEL NAO, fans watalianzisha na Victim ni Arsene wenger
SPURS wanashinda ligi au kumaliza juu ya ARSENAL
I can smell Protests on Mercandises, Season tickets na Boos za kutosha kwa ARSENE WENGER na baadhi ya Under perfomers wake
Ideally Arsene hasiwe mtu mkosa AIBU ajiondoe tu, he will never win it again
uking'ang'anizi ni KUHARIBU LEGACY yake mwenyewe
Vipi Ranieri? Mtamkubali aje Arsenal? Au mnataka kocha wa Tottenham aje Arsenal?
Au mnataka kocha anayefundisha mieleka na rugby?
Mnamkumbuka Mou na Chelsea yake?
Ameshasema haondokiInaelekea Wenger ataondoka baada ya msimu ujao. Tumekwisha in both ways.... Wenger Out, Wenger Out, Wenger Out..... See you in August.
Btw wapi Wacha1?
www.eplsite.com/streams.htmlLink ya kuona online tafadhali