McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Ivi ni mara ya kwanza goli kukataliwa ndio maana kuna sheria 17 za soka acha mboyoyo.Walishapiga. Bila refa kuwabeba wazee wa Panadol ubao ungesomeka Westham 5 - 3 Arsenal. Mshukuru hizo goli mbili zilizokataliwa.