Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mfumo wa wenger kwa wachezaji tulionao wa bei mdogo tutaendelea kulaumu tu, beki za kati na washambuliaji wetu tutasubil sana
Hii excuse haina nguvu yoyote kuanzia sasa. Leicester City na Tottenham wamedhihirisha kuwa sio bei ya wachezaji inayo-matter. . Vile vile kuna timu zinazofanya vizuri katika ligi kuliko Chelsea, Liverpool, Manchester United na Manchester City ambazo zinanunua wachezaji cheap. Maybe case ya Tottenham na Leicester ni nadra kutokea katika ligi lakini hatuwezi kui-ignore.
 
Timu yetu mwanzo wa ligi huwa tunafanya vzr sana, lkn mwisho wa ligi tunaharbu sana, na hii ni tangu mwaka 2005, hpa wenger anahusika kwa ℅ kubwa arsenal kupotea mwishoni, kumuondoa wenger hatutatofautiana sana na man u kwa van gaal, lkn kwa zaidi ya miaka 12!, wenger anatuumiza sana mashabiki
 
Timu yetu mwanzo wa ligi huwa tunafanya vzr sana, lkn mwisho wa ligi tunaharbu sana, na hii ni tangu mwaka 2005, hpa wenger anahusika kwa ℅ kubwa arsenal kupotea mwishoni, kumuondoa wenger hatutatofautiana sana na man u kwa van gaal, lkn kwa zaidi ya miaka 12!, wenger anatuumiza sana mashabiki
Baiskeli Ya miti
 
Wana-Arsenal wenzangu, ndio mimi ni shabiki wa kuteuliwa na Enzo kuishabikia Chenga twawala, naona tumerudi pale kwenye nafasi yetu tuipendayo...Je tutabaki hapo au tutateremka chini kidogo ili tujaribu Europa league?
unazijua habari za chelsea kuliko za timu yako Arse8888.
Link The Chelsea FC Thread
Link2 The Chelsea FC Thread

Khe kheeeeeeee, kwi kwiiiiii.
Ukipenda kandanda na chenga twawala ni lazima ushabikie Arsenal.
 
Wenger haondoki Arsenal mwaka huu ni mpaka mkataba uishe.

Ni yeye ndie atakaetafuta meneja mpya wa Arsenal halafu yeye kupanda kuwa mkurugenzi kwenye bodi na anatajwatajwa Ronald Koeman wa Southampton.

Anataka kufanya mabadiliko makubwa msimu ujao.

Wachezaji wengi wa Uingereza watauzwa.

158614279.jpg

Ramsey, Walcott, Chamberlain na Kieran Gibbs huenda wakajiunga na timu zingine za Uingereza.

Arsenal wanatarajiwa kukamilisha usajili wa Granit Xhaka Borussia Monchengladbach ya Germany mwishoni wa ligi hii au kabla.

Arsenal walipoteza nafasi ya kuwa bingwa walipofungwa na Man Utd na Swansea na kutoa sare na Tottenham na West Ham.
 
Back
Top Bottom