Sanchez wa msimu huu hasa second round sio Sanchez wa msimu uliopita..! Kwa kiwango anachoonesha ss na uwezo ambao tunafahamu anao ni wazi kwamba ana ttzo, either amechoka yani physical au psychological, na issue sio wachezaji wanaomzunguka coz ndo hao hao alikuwa nao last season na first round, kinachompa namba hadi ss ni record ya uwezo wake ila kwa ss haistahili kuwepo first 11, atokee benchi ili iwe changamoto kwake, wanapigwa benchi kina rooney,hazard, bale,James,kroos wanapokuwa out of form sembuse sanchez