Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

swali jepesi: Hivi hawa Barca hata wakifundishwa na kocha KILAZA kama mimi hawashindi?
 
arsenal tumejitahidi sana. kipindi cha kwanza possesion ilikuwa 31% lakini kipindi cha pili tumepanda hadi 32%. welldone arsenal.
 
Poleni ndugu zangu wacha niwahi kutoa pole kabla ya watu wengine kuja na maneno ya karaha na kejeli mpira ndo huu ndugu zangu kazeni buti penye ligi yetu.
 
swali jepesi: Hivi hawa Barca hata wakifundishwa na kocha KILAZA kama mimi hawashindi?
Alikuepo jordi roula barca walikua wanapigwa tu kizembe...akaja tata martino barca hakawa anapigwa tu kizembe.... Kocha ana umuhimu wake aisee ww huon madrid anavoangaika
 
1458165405673.jpg
 
Vipi hapa wajukwaa, mnajisikiaje baada ya kazi nyepesi ya usiku?
Baada ya mabao 2 uwanja wa nyumbani mlijua kuwa mnaenda kutalii tu ,au vipi?
Karibuni Epl na nafasi zilizobakia kugombaniwa ni nafasi ya tatu na 4 tu.

Bayern anafanya vitu vyake hapa.
 
Poleni ndugu zangu wacha niwahi kutoa pole kabla ya watu wengine kuja na maneno ya karaha na kejeli mpira ndo huu ndugu zangu kazeni buti penye ligi yetu.
Watafute kubaki top 4 tu kwa maana nyingine ubingwa wausahau maana Leicester anakinukisha hatariiii
 
Sijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Anza kuangalia Game za Barca taraatiiiibuuuuuuuu, utaipenda tu. Harafu ukiwa unaangalia Game za Barca, sahau yale machungu waliyokutendea ukiwa na Arsenal, uwaangalie ukiwa hauna kinyongo nao.
 
Back
Top Bottom