Mkuu naomba unitimie link ya hii game naitafuta sana but cracked![]()
BREAKING NEWS HATIMAYE ARSENAL YATWAA UBINGWA KWENYE PS
Ila barca hamjawai kumpiga nyumban tukiangalia izo izo kumbumbukuAhsante kwa kumbukumbu ndugu yangu wacha tusubiri kesho.
Mimi man u ndugu yangu huku nilikuja kuwapa pole majirani.Ila barca hamjawai kumpiga nyumban tukiangalia izo izo kumbumbuku
Hahahaha nisamehee mkuu sikujuaMimi man u ndugu yangu huku nilikuja kuwapa pole majirani.
Kutupa pole ya nini? Kwani kuna mauaji yoyote??Mimi man u ndugu yangu huku nilikuja kuwapa pole majirani.
Ndo hivyo ndugu kuna dua nyingine au maneno ya faraja unayompa ndugu yako hata yeye mwenyewe anajua hayana ukweli sasa hapa tukisema tunawatakia ushindi si watasema tunawasanifu?Hahahaha nisamehee mkuu sikujua
Yaah!hali sio nzuri ndugu yangu nawe unalitambua japo unaji(brother sugarcane)unajikakamua ila shughuli ipo kweli mpira unadunda ila sio kwenye maji.Kutupa pole ya nini? Kwani kuna mauaji yoyote??
Hahahaha ebu waache kwanzaPoleni sana watani