Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Hama tu ndugu kubadili kabila ndio haiwezekani lakini timu unajitoa fahamu unahama.Sijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Hama tu ndugu kubadili kabila ndio haiwezekani lakini timu unajitoa fahamu unahama.Sijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Ukiipata hiyo mbinu nami uniambie!Sijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Unakumbuka msimu iliyopigwa na Bayern nje ndani (Aggr.bao 7) kama unakumbuka hii utaelewa umhimu wa kocha mzuri
Ndugu vuta subra mtakaa vizuri wenger uwezo wake ndo umeishia hapo sidhani kama ana jipya.Ukiipata hiyo mbinu nami uniambie!
Yaani.........kila mwaka ni kuumia tu. Tusubiri kocha mwingine.Ndugu vuta subra mtakaa vizuri wenger uwezo wake ndo umeishia hapo sidhani kama ana jipya.
Pole swahiba hata sisi miaka mitatu hii imekuwa migumu kwetu toka yule babu yetu aondoke tunam miss sana sasa sijui nanyi mtamkubuka maana ushaanza kufikiria kufunga virago.Yaani.........kila mwaka ni kuumia tu. Tusubiri kocha mwingine.
Kuna mganga anatibu ugonjwa wa kuihama ArsenalSijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Sijui nitumie mbinu gani ili nihame hii timu,inaniboa sana
Nielekeze tafadhaliKuna mganga anatibu ugonjwa wa kuihama Arsenal
Mkuu hata Messi akicheza timu ya taifa anakuwa mchezaji wa kawaida sn,kwa hii timu yetu utamchukia kila mchezaji mzuri. Sanchez ni mzuri ila anacheza na wajinga wengi,hiv mkuu unategemea tungemtoa barca na hawa kina walcott,chamberlain na Giroud???Sanchez nae kawa JIPU, ni aina ya mchezaji ambae alipaswa kutuokoa kwenye match muhimu na kuonesha uwezo binafsi km wafanyavyo kina coutinho,mahrez,lukaku and so on, ila amebaki kukimbia 2 km mad dog na kupoteza mipira km ramsey, kwa kocha makini alipaswa kutokea benchi kwa ss na sio kujipa hope kuwa atakuwa fit leo,kesho or keshokutwa. Sick and tired of him